Wananchi wakwama kupata huduma Kibamba, Magomeni

Dar es Salaam. Upatikanaji wa huduma kwa wananchi katika ofisi za serikali za mitaa za Tarafa ya Kibamba na Magomeni umekwama, baada ya ofisi hizo kuchomwa moto wakati wa vurugu na maandamano ya Oktoba 29, 2025. Tukio hilo pia, limekwamisha shughuli za urasimishaji wa ardhi na hatimaye ugawaji wa hatimiliki kwa wananchi, kutokana na kuungua…

Read More

Hoja ya kumkamata Mange Kimambi yazua mjadala

 Dar es Salaam. Wakati Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari akieleza kuwa Serikali inaangalia uwezekano wa kumchukulia hatua Mange Kimambi kwa tuhuma za kuhamasisha Watanzania kuandamana, baadhi ya wanasheria wamesema suala hilo si rahisi kisheria. Wataalamu hao wamesema ni vigumu kwa nchi kama Marekani kumkabidhi mtu kwa nchi nyingine, hususan pale anapokabiliwa na tuhuma zenye…

Read More

Rais Dkt. Samia Apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe. Vladimir Putin, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mhe. Sergei Kiriyenko, Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe. Vladimir Putin mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Novemba, 2025.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa…

Read More

Mudrik Gonda aanza tambo Fountain Gate

BAADA ya kuchangia mabao mawili ya Ligi Kuu Bara akiwa na kikosi cha Fountain Gate, mshambuliaji wa timu hiyo, Mudrik Abdi Shehe ‘Gonda’, amesema taratibu anaanza kuzoea mazingira na ushindani, baada ya kutofanya vizuri msimu uliopita. Mudrik alijiunga na timu hiyo Januari 2025, akitokea JKU SC ya Zanzibar ili kuzipa pengo la aliyekuwa nyota mshambuliaji…

Read More

Mzambia wa Yanga apewa shavu jipya

KOCHA wa zamani wa Yanga, Mzambia Noel Mwandila ameteuliwa na Shirikisho la Soka la Zambia (FAZ) kuwa Mkufunzi wa washambuliaji wa timu ya taifa ya nchi hiyo, Chipolopolo kwa ajili ya Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) zitakazofanyika Morocco. Mwandila aliyewahi kuifundisha Yanga katika kipindi cha George Lwandamina ambaye pia ni Mzambia kuanzia mwaka 2016…

Read More

Simba yamtisha beki Esperance, afichua jambo

SIMBA inapiga hesabu ndefu za namna gani itaingia katika mechi sita za makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, ili itoboe tena kwenda robo fainali, lakini makali ya kikosi hicho kilichocheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu uliopita yakamshtua beki mmoja wa Waarabu akisema kwa Wekundu hao kazi watakuwa nayo si kitoto. …

Read More

Mambo 10 yanayomsubiri Samia | Mwananchi

Dar/Mikoani. Wakati Samia Suluhu Hassan akila kiapo cha kuwatumikia Watanzania kwa miaka mitano ijayo, mambo 10 mahususi yanamsubiri katika utawala wake katika kipindi chake cha pili. Samia ameapishwa kuwa Rais, Novemba 3, 2025 na Jaji Mkuu, Profesa George Masaju, katika hafla iliyofanyika Uwanja wa Gwaride, Ikulu ya Chamwino, mkoani Dodoma, na kuhudhuriwa na watu mbalimbali…

Read More

Madaktari wataja hatua 10 za kuondokana na kiwewe

Dar es Salaam. Kujiweka mbali na mitandao ya kijamii, simu janja na taarifa zinazoamsha hisia kali na kufanya maandalizi mazuri nusu saa kabla ya kulala, kunaweza kumsaidia mtu kuondokana na kiwewe hasa katika kipindi cha majanga na vurugu. Kwa sababu inelezwa kwamba kiwewe au trauma kama inavyoelezwa na wataalamu, mara nyingi haitokani na kuumizwa kimwili…

Read More

Simba, Yanga kuaga mwaka kwa dabi

WAKATI Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), likisogeza mbele kuanza kwa mechi za msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), wababe wa ligi hiyo Simba na Yanga zenyewe zitauaga mwaka 2025 kwa kuvaana katika Dabi ya Kariakoo Desemba 28. Awali ligi hiyo iliyozinduliwa mwezi uliopita kwa mechi za Ngao ya Jamii, ilipangwa kuanza jana Alhamisi,…

Read More