Hii hapa orodha kamili walioshinda ubunge 2025

Mikoani. Ikiwa imepita wiki moja tangu uchaguzi umefanyika, matokeo yaliyotangazwa na wasimamizi wa uchaguzi baada ya wananchi kupiga kura Oktoba 29, 2025, sasa yako hadharani ambapo Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiibuka na ushindi katika majimbo mengi nchini. Matokeo hayo hayakupatikana mapema kutokana na changamoto ya kukatwa kwa mtandao wa intaneti, jambo ambalo lilitatiza utumaji wa…

Read More

Kwa nini COP30 lazima iwe katikati ya watu wa asili ‘na uongozi wa jamii za wenyeji – maswala ya ulimwengu

Maoni na Juan Carlos Jintiach (Napo, Amazonia, Ecuador / New York) Alhamisi, Novemba 06, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAPO, Amazonia, Ecuador / New York, Novemba 6 (IPS) – Viongozi wa ulimwengu wanajiandaa kukusanyika nchini Brazil kwa Cop30 wiki ijayo, watakutana ndani ya moyo wa Amazon – eneo linalofaa kwa kile lazima iwe mabadiliko…

Read More

ACT-Wazalendo kuingia SUK? | Mwananchi

Dar/Unguja. Wataingia ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK) au watasusia? Hilo ni swali linalogonga vichwa vya viongozi na wanachama wa ACT- Wazalendo visiwani humo kwa sasa. Hadi sasa bado viongozi wa ACT- Wazalendo, hawajatoa kauli yoyote wala mwelekeo kuhusu kuingia au kutoingia ndani ya SUK, licha kuwa na sifa zinazowawezesha kuunda Serikali…

Read More

Himid Mao mzuka umepanda Azam FC

KIUNGO mkabaji wa Azam FC, Himid Mao amesema kikosi cha timu hiyo ukiondoa ubora iliyonayo, lakini anafurahia kuona kimekomaa kiushindani na ana matarajio makubwa katika michuano ya Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho Afrika kuendeleza rekodi. Kiungo huyo mkongwe na mtoto wa nyota wa zamani wa kimataifa aliyewahi kutamba nchini na klabu tofauti na timu…

Read More

TEF: Serikali ianzishe maridhiano haraka kuponya majeraha

Dar es Salaam. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeisihi Serikali kuanzisha mchakato wa maridhiano haraka, ili kuponya majeraha kwa pande zote, huku likiwapa pole Watanzania walioguswa na maandamano yaliyozaa vurugu, kadhia mbalimbali na mauaji. Maandamano hayo yalitokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 katika mikoa mbalimbali ikiwemo Dar es Salaam, Dodoma, Mbeya,…

Read More

Makambo Jr ashtukia jambo Coastal Union

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Athuman Masumbuko ‘Makambo Jr’ ameshtukia jambo katika kikosi hicho ikiwa ni msimu wake wa kwanza, huku akisema hana furaha ya kufunga kama mabao yake hayawabebi Wagosi wa Kaya. Makambo alijiunga na Coastal msimu huu akitokea SC Victoria 06 Griesheim ya Ujerumani alipokuwa kwa mkopo akitokea 1.FCA Darmstadt ya nchini humo na…

Read More

Kimbunga Melissa kinaharibu Karibiani kama UN inasambaza misaada ya kuokoa maisha – maswala ya ulimwengu

Picha kutoka UNICEF zinaonyesha athari za uharibifu huko Jamaica, na vitongoji vimeingizwa katika maji na jamii kukosa upatikanaji wa huduma nyingi za msingi. Mikopo: UNICEF na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Alhamisi, Novemba 06, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Novemba 6 (IPS) – Mwishowe Oktoba, Kimbunga Melissa, dhoruba ya nguvu ya…

Read More