Zubeir achaguliwa tena Spika Baraza la Wawakilishi

Unguja. Zubeir Ali Maulid amechaguliwa tena kuwa Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kwa kipindi cha tatu. Zubeir amechaguliwa leo Alhamisi Novemba 6, 2025 katika mkutano wa kwanza wa Baraza la 11 la Wawakilishi Zanzibar, ambapo hiki kitakuwa kipindi  cha tatu tangu alipochaguliwa kwa mara ya kwanza mwaka 2015. Spika Zubeir ambaye anatoka kwenye Chama…

Read More

Gamondi amrejesha  Kelvin John Taifa Stars

KAIMU Kocha Mkuu wa timu ya taifa, Taifa Stars Miguel Gamondi amemrejesha nyota wa Aalborg BK ya Denmark katika kikosi cha timu hiyo kitakachoingia kambini kwa mechi ya kirafiki kalenda ya FIFA dhidi ya Kuwait utakaochezwa Novemba 14 jijini Cairo, Misri. Kelvin aliitwaa mara ya mwisho katika kikosi hicho enzi kikiwa chini ya kocha Hemed…

Read More

Fadlu: Sikieni, Simba hii inatoboa CAF

SIMBA inaendelea na maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara ikitarajiwa kuvaana na JKT Tanzania, lakini kuna kocha aliyewahi kuinoa timu hiyo aliyepo Uarabuni amevunja ukimya na kuitabiria kufika mbali zaidi katika Ligi ya Mabingwa Afrika  msimu huu. Simba iliyocheza fainali ya Kombe…

Read More

RAIS DKT. MWINYI AMUAPISHA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar. Hafla ya uapisho imefanyika leo Novemba 6, 2025, Ikulu, Zanzibar. Dkt. Mwinyi Talib Haji ameteuliwa tena kushika nafasi hiyo baada ya kuitumikia katika kipindi kilichopita. Hafla hiyo imehudhuriwa na Jaji Mkuu…

Read More

Kocha Uhamiaji afichua siri Ligi Kuu Zanzibar

KOCHA Mkuu wa Uhamiaji, Abdul Saleh Mohammed, amesema timu hiyo imefanya mabadiliko makubwa msimu huu wa 2025-2026 na ndio siri ya kupata matokeo mazuri katika mechi zinazoendelea za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Licha ya kumaliza nafasi ya sita msimu uliopita, timu hiyo haikuwa bora sana kama inavyoonekana kipindi hiki kwa kucheza soka la kuvutia zaidi…

Read More