CAF yaongeza timu za WAFCON

KAMATI Kuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) imeidhinisha kuongeza idadi ya timu zitakazoshiriki mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) kutoka timu 12 hadi 16, kuanzia toleo lijalo litakalofanyika nchini Morocco kuanzia Machi 17, 2026 hadi Aprili 3, 2026. Kwa kuwa hatua ya kufuzu kwa toleo la mwaka 2026…

Read More

JKT Queens yaenda Misri kwa mafungu

WAWAKILISHI pekee wa Cecafa kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake, JKT Queens wameanza safari kwenda Misri inakofanyika michuano hiyo huku kundi la kwanza limeondoka leo Jumatano Novemba 5, 2025 na lingine la watu 11 litaondoka kesho Alhamisi. JKT ilikata tiketi ya kushiriki michuano hiyo Septemba 2025, iliponyakua ubingwa wa Cecafa mbele ya…

Read More

TRA yamrudisha Ndayiragije Bara | Mwanaspoti

MABOSI wa TRA United wanadaiwa kumalizana na aliyekuwa Kocha wa Polisi Kenya, Etienne Ndayiragije muda mfupi baada ya kuachana na maafande hao aliofanya nao kazi kwa miezi 11 na kuwapa ubingwa wa Ligi Kuu Kenya (KPL) msimu uliopita. Kwa sasa TRA United ambayo zamani ilifahamika kama Tabora United baada ya awali kuachana na jina la…

Read More

Tamwa yatoa pole kwa waathirika wa vurugu

Dar es Salaam. Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa) kimeeleza huzuni na kutoa pole kwa Watanzania wote waliopata madhila kutokana na vurugu zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Vurugu hizo zilitokea wakati uchaguzi ukiendelea nchini jambo lililosababisha uharibifu wa mali za umma, binafsi pamoja na vifo. Taarifa iliyotolewa leo Novemba…

Read More

Singida BS kuifuata Pamba Jiji kesho

KIKOSI cha Singida Black Stars kinaondoka jijini Dar es Salaam kesho Alhamisi ili kuwahi pambano lijalo la Ligi Kuu Bara dhidi ya Pamba Jiji, huku kocha msaidizi wa timu hiyo, David Ouma akisema watakuwa na dakika 90 bora kusaka pointi tatu ugenini. Singida ilikuwa jijini Dar es Salaam na kuweka kambi ya muda ikijiandaa na…

Read More

26,093 wakacha mtihani darasa la saba, asilimia 81.8 wakifaulu

Dar es Salaam. Wakati Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) likitangaza matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi yanayoonesha ufaulu kuongezeka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na matokeo ya mwaka 2024, jumla ya wanafunzi 26,093 hawakufanya mtihani huo licha ya kusajiliwa. Idadi  ya wanafunzi ambao hawakufanya mtihani ni ongezeko kidogo ikilinganishwa na wanafunzi 25,875 wa mwaka…

Read More