Wabunge wateule waitwa Dodoma, kumpata Spika mpya moto

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya nchi, amewaita wabunge wateule wote jijini Dodoma kuanzia Novemba 8,2025. Taarifa iliyotolewa kwa umma na Katibu wa Bunge Barala Leonard, Tangazo la Rais la kuitisha Bunge lililotolewa kwenye Gazeti la Serikali toleo maalumu Na. 11 (Special Supplement) la tarehe 4 Novemba, 2025. Bunge la…

Read More

Bei ya mafuta Novemba kusalia vilevile

Dar es Salaam. Watuamiaji wa vyombo vitumiavyo petroli watendelea kutumia bei ileile kwa mwezi Novemba baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutangaza bei ya kikomo ambayo haijafanyiwa marekebisho yoyote ikilinganisha na mwezi ulioishia Oktoba 31, 2025. Bei hiyo iliyotangazwa itahusu mafuta yote yanayopita katika bandari za Dar es Salaam, Tanga…

Read More

Rais Samia amuapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemwapisha Hamza Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Johari ameapishwa leo Jumatano, Novemba 5, 20254, Ikulu ya Chamwino, jijini Dodoma na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi. Johari ameapishwa baada ya kuteuliwa na Rais Samia Novemba 3, 2025, saa chache…

Read More

Mzize apasuliwa goti, nje miezi miwili

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize amefanyiwa upasuaji wa goti na anatarajia kuwa nje ya uwanja kwa wiki nane hadi kumi. Mzize ambaye alikuwa kinara wa mabao kwa wachezaji wazawa ndani ya Ligi Kuu Bara msimu uliopita akifunga mabao 14, huku akimaliza wa pili nyuma ya Jean Charles Ahoua wa Simba aliyefunga mabao 16, alipata majeraha…

Read More

Yanga yahamishia mechi zake za CAF Zanzibar

KLABU ya Yanga imetangaza kuwa, mechi zake za nyumbani katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu itatumia Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Zanzibar. Yanga imepangwa Kundi B pamoja na timu za Afrika Kaskazini ambazo ni Al Ahly ya Misri, JS Kabylie ya Algeria na AS FAR ya Morocco, imehamishia mechi…

Read More

Ahmad Ally msaidizi wa Gamondi Taifa Stars

Kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally ndiye atamsaidia Miguel Gamondi katika benchi la ufundi la timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’. Gamondi alitangazwa jana kuwa Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars baada ya mkataba wa Hemed Suleiman ‘Morocco’ kusitishwa. Habari kutoka chanzo cha uhakika ndani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeithibitishia…

Read More

Athari za maandamano zilivyopaisha bei za bidhaa

Mwanza. Shughuli za kiuchumi kusimama, maduka kufungwa na wananchi kushindwa kununua mahitaji yao licha ya kuwa na pesa mikononi au kwenye simu, ndiyo hali iliyokumba baadhi ya maeneo ya mikoa ya kanda ya ziwa baada ya vurugu zilizotokea kuanzia Oktoba 29 hadi Novemba mosi, 2025. “Hali ilikuwa kama sinema. Kwa mara ya kwanza nilishinda njaa…

Read More