DKT AKWILAPO ATAKA MAENEO YA UMMA KULINDWA
Na Munir Shemweta, Mtwara Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo amezitaka taasisi za umma kuhakikisha zinalinda mipaka ya maeneo yake ili kuepuka uvamizi unaoweza kuzalisha migogoro ya ardhi nchini. Mhe Dkt Akwilapo ametoa rai hiyo mapema leo tarehe 27 Novemba 2025 mkoani Mtwara alipozungumza wakati wa kikao na uongozi…