Bei ya petroli Dar yapanda dizeli ikisalia vilevile

Dar es Salaam. Watuamiaji wa vyombo vitumiavyo petroli watalazimika kuongeza Sh32 kwa kila lita katika bajeti yao ya kupata nishati hiyo kuanzia leo, huku watumiaji wa dizeli na mafuta ya taa wakiendelea kutumia bei zao zilezile. Wanunuzi wa petroli kwa rejareja kwa mafuta yanayopita bandari ya Dar es Salaam wataongeza Sh32 katika kila lita ya…

Read More

Athari za vurugu baadhi ya mikoa ya kanda ya ziwa

Mwanza. Shughuli za kiuchumi kusimama, maduka kufungwa na wananchi kushindwa kununua mahitaji yao licha ya kuwa na pesa mikononi au kwenye simu, ndiyo hali iliyokumba baadhi ya maeneo ya mikoa ya kanda ya ziwa baada ya vurugu zilizotokea kuanzia Oktoba 29 hadi Novemba mosi, 2025. “Hali ilikuwa kama sinema. Kwa mara ya kwanza nilishinda njaa…

Read More

ACT –Wazalendo wawatuliza wanachama | Mwananchi

Unguja. Baada ya kushindwa katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025, aliyekuwa mgombea wa ACT-Wazalendo, Othman Masoud amewataka wanachama wa chama hicho kutulia wakati viongozi wakiendelea kutafakari. Uchaguzi huo ulioshirikisha vyama 11 vya siasa, Dk Hussein Mwinyi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) aliibuka kidedea kwa kupata asilimia 74.8 ya kura zote zilizopigwa huku Othman akipata…

Read More

Ahueni bei ya mafuta ikisalia ilivyokuwa Oktoba

Dar es Salaam. Watuamiaji wa vyombo vya moto nchini wataendelea kupata ahueni kwani bei za mafuta zitakazotumika Novemba, 2025 zitaendelea kusalia kama zilivyokuwa Oktoba mwaka huu, isipokuwa kwa petroli jijini Dar es Salaam. Wanunuzi wa rejareja katika jiji la Dar es Salaam wataongeza Sh32 katika kila lita ya mafuta watakayonunua Novemba mwaka huu ikilinganishwa na…

Read More

Siku za uchaguzi zilibaki historia kwa wakazi wa Mbeya na Dodoma

Mbeya/Dodoma. Itabaki historia. Ndivyo wanavyosema baadhi ya wananchi wa Jiji la Mbeya wakielezea misukosuko na taharuki waliyopitia wakati na baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025. Wanasema hali waliyokutana nayo haipaswi kujirudia katika chaguzi zijazo. Kwa siku sita mfululizo, kuanzia Oktoba 29 hadi Novemba 3, 2025, wananchi wengi walijikuta wakijifungia ndani kwa hofu…

Read More

Vurugu zilivyotikisa sekta ya elimu

Dar es Salaam. Ni mtikisiko kwenye sekta ya elimu, hivi ndivyo inavyoweza kuelezwa kufuatia vurugu zilizotokea siku ya uchaguzi Oktoba 29, 2025 kusababisha mabadiliko ya ratiba mbalimbali muhimu zinazohusu sekta hiyo. Miongoni kwa ratiba zilizobadilishwa ni ile ya Baraza la Taifa la Mitihani (Necta) iliyohusisha mtihani ya upimaji wa kidato cha pili na mtihani wa…

Read More

Shughuli za uchumi zilivyotikisika kwa siku sita

Dar es Salaam. Vurugu zilizotokea kwenye baadhi ya maeneo nchini kuanzia Oktoba 29, 2025, zimeacha alama kubwa ya maumivu katika uchumi wa Tanzania, hususan katika sekta zisizo rasmi, biashara ndogo na zile zinazotegemea teknolojia ya kidijitali. Uharibifu, hofu na usumbufu wa shughuli za kila siku vilisababisha kuporomoka kwa mzunguko wa fedha, kukwama kwa usafiri na…

Read More

TEC yaiomba Serikali iwazike waliofariki kutokana na vurugu

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limeiomba Serikali kutenga eneo la maziko kwa watu waliopoteza maisha Oktoba 29 kutokana na vurugu zilizotokea maeneo mbalimbali nchini. Vurugu hizo zilianza kutokea Jumatano Oktoba 29, 2029  hadi Oktoba 2, 2025 katika maeneo mbalimbali nchini. Akizungumza na Mwananchi jana Jumanne, Novemba 4, 2025 Rais wa TEC, Askofu…

Read More

Mambo 6 Ya Kumfanyia Mpenzi/Mchumba Asikusahau Milele – Global Publishers

Kuna mambo ya msingi ambayo mwanamke anahitaji kutoka kwa mwanamme ili kufurahi na kutulia katika mahusiano japokuwa sio rahisi kukwambia mojakwa moja.Na endapo utasoma na kufwata mafundisho haya lazima mwanamke wako hatokusahau hata kama mkiachana YAKUZINGATIA YAPO HAPO CHINI 1.Kuridhishwa Kwenye tendo la ndoa Mwanamke anapenda aridhishwe Kwenye tendo la ndoa. Hata kama utakuwa na…

Read More