Tumia mbinu hizi ukipata kiwewe au mshtuko

Dar es Salaam. Trauma ‘kiwewe’ haitokani na kuumizwa kimwili pekee, bali pia na kile unachoshuhudia. “Kila nikisikia mlipuko wa tairi, moyo wangu hushtuka.” Kauli ya Amina Soud (26), Mkazi wa Buguruni mama wa watoto wawili, amesema tangu siku hiyo amekuwa akihisi hofu kubwa kila anaposikia mlio wa tairi au fataki. “Nilikuwa sokoni siku hiyo. Ghafla…

Read More

Usafiri wa mwendokasi Dar wasitishwa kwa muda

Dar es Salaam. Serikali imetangaza kusitisha usafiri wa mabasi ya yaendayo haraka maarufu mwendokasi jijini Dar es Salaam ambazo huduma huduma kati ya Gerezani – Kimara na Gerezani – Mbagala. Kusitishwa kwa huduma hiyo, kunalenga kutoa nafasi ya kufanyika kwa tathmini ili kujua uharibifu uliofanyika wakati wa maandamano yaliyofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025 jijini…

Read More

Dk Mwinyi na kiapo bila hotuba

Dk Mwinyi na kiapo bila hotuba Unguja. Dk Hussein Ali Mwinyi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) anakuwa miongoni mwa marais wachache wa Zanzibar ambao hawakuhutubia siku ya sherehe za uapisho wao, kama ilivyokuwa kwa baba yake, Ali Hassan Mwinyi mwaka 1984. Katika sherehe za uapisho wa Dk Mwinyi zilizofanyika Uwanja wa New Aman Unguja, visiwani…

Read More

Uchaguzi ulivyohitimishwa Samia akiapishwa muhula wa pili

Dar es Salaam. Siku saba baada ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, kufanyika, Rais Samia Suluhu Hassan ameanza safari ya uongozi kwa muhula wake wa pili wa miaka mitano, baada ya kuapishwa kufuatia ushindi alioupata kwenye uchaguzi huo 2025 uliohitimishwa kwa vurugu. Samia alikuwa miongoni mwa wagombea 17 walioshindana kwenye uchaguzi huo na baada ya uchaguzi,…

Read More

Maisha yarejea baada ya hekaheka ya siku sita

Dar/mikoani. Baada ya hekaheka za siku za tano zilizosababisha wananchi kukosa huduma muhimu, sasa hali ya maisha imerejea kawaida, ikiwemo usafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Kuanzia Oktoba 29 siku ya kupiga kura na kuendelea zilizozuka vurugu na maandamano yaliyotikisa baadhi ya majiji makubwa ya Dar es Salaam, Arusha, Mbeya na Mwanza na kusababisha athari…

Read More

Mastaa tishio kwa Yanga, Simba CAF

BAADA ya Shirikisho la Mpira wa Migu Afrika (CAF) kuchezesha droo ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, kuna kazi kubwa ya kufanya kwa wawakilishi wetu Simba na Yanga zinazoshiriki Ligi ya Mabingwa, huku Singida Black Stars na Azam zikiwa Kombe ka Shirikisho. Kwa Simba na Yanga, hii…

Read More