Wagonjwa kisukari wanavyopitia ubaguzi, unyanyapaa
Russia. Katika siku ya kisukari hivi karibuni, pamoja na kampeni ya magonjwa yasiyoambukiza iliyoanza tarehe 12-19 Novemba, moja ya tatizo lililozungumzwa kimataifa ni tatizo la unyanyapaa na ubaguzi kwa watu wanaoishi na ugonjwa wa kisukari. Watu wanaoishi na kisukari mara nyingi hukutana na unyanyapaa yaani hukumu hasi za kijamii, mitazamo hasi, dhana potofu na ubaguzi,…