Profesa Kabudi: Tawasifu za viongozi ni dira ya taifa katika vipindi vya misukosuko
Arusha. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amesema endapo waasisi wa Taifa hili wangeandika tawasifu zao wenyewe ikiwemo mitikisiko na changamoto walizopitia, ingesaidia kujua mapito ambayo Taifa liliwahi kupitia na ingekuwa ni dira ya sasa hasa katika vipindi hivi vya mitikisiko na namna ya kuiendea. Profesa Kabudi ameyasema hayo jana usiku…