Sharia ya unyonyeshaji inayoharamisha kuoana

Kunyonyesha ni jambo nyeti na lenye athari kubwa katika uhusiano baina ya watu. Hutengeneza hukumu (sharia) nyingi na mtu ataulizwa mbele ya Allah. Mwanamke Muislamu asimnyonyeshe mtoto wa mama mwingine bila dharura. Na ikibidi Inapasa ifanyike katika hali iliyo wazi na uwepo wa mashahidi, kadhalika ijulikane baina ya familia zote mbili (familia ya mama mzazi…

Read More

Ndemla afichua kinachombeba Ligi Kuu

KIUNGO mshambuliaji wa JKT Tanzania, Said Ndemla amesema ugumu na ubora wa Ligi Kuu Bara ni chachu kwao kukuza viwango vyao vya uchezaji huku akitaja sababu ya kuendelea kudumu kwenye soka kuwa ni kuhjitunza na anatamani kuona anaendelea kuwa bora zaidi ya alivyo sasa. Akizungumza na Mwanaspoti, Ndemla amesema ligi kuu inakua msimu hadi msimu…

Read More

Mashujaa, Dodoma vita nzito leo

LIGI Kuu Bara inaendelea leo kwa mechi moja kupigwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini Kigoma kwa wenyeji Mashujaa kuikaribisha Dodoma Jiji katika pambano la kisasi kutokana na rekodi za timu hizo mbili katika ligi hiyo. Mashujaa iliyotoka kupata ushindi wa bao 1-0 nyumbani mechi iliyopita dhidi ya Mbeya City, inakutana na Dodoma iliyotoka kupasuka kwa…

Read More

Pantev apangua kikosi, atoa tahadhari Simba

KIKOSI cha Simba tayari kimeshatua Mali kwa ajili ya mechi y pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien, lakini wakati kinaanza safari kuna hesabu amezitoa meneja wa timu hiyo, Dimitar Pantev, akiweka bayana kwamba ana mipango mipya ugenini na kutahadharisha mastaa. Iko hivi. Baada ya Simba kupoteza nyumbani katika mechi ya kwanza…

Read More