AWAMU YA KWANZA YA UJENZI WA DTC YAKAMILIKA KWA MIUNDOMBINU MUHIMU
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, amesema uanzishwaji wa Chuo cha Ufundi Dodoma (DTC) ni hatua kubwa ya Serikali katika kutekeleza Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 Toleo la 2023 pamoja na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza Novemba 27, 2025, Naibu Waziri amebainisha kuwa…