Watumishi wa umma wanaokiuka miiko, wazembe kukiona

Dodoma. Serikali imesema kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa sheria, kanuni, taratibu na miiko ya kazi katika utumishi wa umma vikiwemo uzembe na usumbufu unaofanywa na baadhi ya watumishi bila sababu za msingi jambo linalotakiwa kuangaliwa. Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi 27, 2025 na Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora, Regina Qwaray alipokuwa akizungumza na…

Read More

Vijana Mbeya waeleza kiini vurugu na maandamano

Mbeya. Vijana wa Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya wameeleza sababu za maandamano yaliyotokea nchini, wakitaja madai ya Katiba mpya na vitendo vya utekaji wa baadhi ya viongozi, hivyo kumuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuchukua hatua. Wamesema pia hawakubaliani na utoaji wa pikipiki kwa makatibu wa CCM badala ya vijana wote. Wakizungumza leo, Novemba 27, 2025,…

Read More

Mzize: Kundi gumu lakini subirini muone

LICHA ya kutokuwa sehemu ya kikosi kilichosafiri kwenda Algeria kwa mechi ya pili ya makundi dhidi ya JS Kabylie, mshambuliaji Clement Mzize amewasifu wenzake kwa kuanza vizuri nyumbani na kuwatumia salamu na  kuwataka wafanye vyema ugenini ili waende robo fainali. Mzize amesema watakapofanya vyema katika mechi hiyo ya leo watakuwa na kila sababu ya kuisaka…

Read More

Diwani Mbozi afariki kwa kunywa maji ya betri

Songwe. Diwani mteule wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Shiwinga, Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe, Lusekelo Mwalukomo, amefariki dunia baada ya kunywa maji ya betri. Tukio hilo lililotokea Novemba 26, 2025 wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Mbozi Mission. Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Hamad Mbega, akizungumza na Mwananchi Digital leo Novemba 27,…

Read More

Kocha JS kabylie akuna kichwa, Pedro ashtukia mchongo

PRESHA inapanda na kushuka kwa Kocha wa JS Kabylie, Mjerumani Josef Zinnbauer, huku kichwa kikimpasuka pamoja na benchi lake la ufundi ikiwa zimesalia siku chache kabla ya mechi ya  pili ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga. Zinnbauer anaingia wiki  nyingine ngumu, baada ya kikosi hicho kuanza vibaya hatua hiyo…

Read More

Ukuaji wa Dar unavyoathiri uchumi wa Tanzania

Dar es Salaam kwa sasa ni kitovu cha idadi kubwa ya watu nchini, ikiwa na makadirio ya zaidi ya watu milioni sita. Mkusanyiko huu wa watu umeunda soko la watumiaji lenye nguvu na linalokua kwa kasi. Matumizi ya bidhaa na huduma hapa ni makubwa na tofauti, kuanzia simu za kisasa na mavazi ya mitindo hadi…

Read More