SEKRETARIETI YA MAADILI MNAYO MAMLAKA YA KUFUATILIA UKIUKWAJI WA MAADILI YA VIONGOZI NCHINI, FANYENI HIVYO BILA KUONEA MTU”- Mhe. Ridhiwani Kikwete

Na Mwandishi wetu-Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameitaka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuchunguza na kufuatilia kwa kina ukiukwaji wa maadili kwa Viongozi wa Umma ili kuwa na taifa lenye uadilifu kwa ustawi wa taifa. “Ninyi ndio wenye mamlaka ya…

Read More

RC SENYAMULE APONGEZA MAGEUZI YA UHIFADHI WA DAWA MSD

Na-Mwandishi wetu Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amefanya ziara ya kikazi katika Bohari ya Dawa (MSD) Kanda ya Dodoma na kueleza kuridhishwa kwake na hali ya uhifadhi wa dawa, miundombinu pamoja na mazingira ya kazi. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukagua bohari hiyo, Mhe. Senyamule amesema kuwa mazingira yaliyopo…

Read More

Vodacom M-Pesa Yazindua Huduma ya Malipo ya Kimataifa Popote Ulimwenguni!

 Kuleta mapinduzi katika biashara na urahisi wa malipo kwa wateja na wafanyabiashara wa Tanzania.  Vodacom Tanzania, kampuni inayoongoza katika huduma za mawasiliano nchini, imezindua rasmi huduma ya malipo ya kimataifa (M-Pesa Global Payments), hatua inayoleta mapinduzi katika biashara na urahisi wa malipo kwa wateja na wafanyabiashara wa Tanzania wanaosafiri na kufanya biashara nje ya…

Read More

Usafiri mtandaoni wapamba Moto, mikoani sasa wafikiwa

Dodoma. Soko la usafiri wa mitandaoni mijini linazidi kuongeza ushindani baada ya Kampuni ya kimataifa ya Maxim kuzindua rasmi huduma zake katika mikoa ya Dodoma, Mwanza na Morogoro. Soko la usafiri wa mijini limekuwa likikua kwa kasi na kuvutia majukwaa mbalimbali ya kimataifa na kikanda kama Uber, Bolt na InDrive. Maxim, iliyoanzishwa mwaka 2003 na…

Read More

NIDA YATOA RAI KWA WANANCHI KUJITOKEZA KUFANYIWA MABADILIKO YA TAARIFA KUPITIA KIBALI MAALUM CHA MWAKA MMOJA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), James Kaji, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Novemba 27, 2025. Na kusisitiza kuwa  mabadiliko ya taarifa ni sehemu ya huduma za msingi zinazotolewa na NIDA kwa watu waliopo kwenye mfumo wake, lakini kwa muda mrefu baadhi ya maombi yalishindwa kufanyiwa kazi kutokana…

Read More

Majaji na maafisa wa ICC, chini ya vikwazo vya Amerika, wanaishi chini ya kutengwa ngumu – maswala ya ulimwengu

Korti ya Jinai ya Kimataifa. Mikopo: Picha ya UN/Rick Bajornas na Thalif Deen (Umoja wa Mataifa) Alhamisi, Novemba 27, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Novemba 27 (IPS) – Vikwazo vya Amerika katika Korti ya Jinai ya Kimataifa (ICC) vimeongeza kutengwa kwa majaji na maafisa wa Mahakama iliyoko Hague, Uholanzi.Katika kwa mahojiano…

Read More

Vodacom M-Pesa Yazindua Huduma ya Malipo ya Kimataifa – Global Publishers

Itabadilisha mwelekeo wa biashara na urahisi wa huduma za fedha kwa wafanyabiashara na wateja nchini.27 Novemba 2025 – Dar es Salaam, Tanzania: Vodacom Tanzania, kampuni inayoongoza katika huduma za mawasiliano nchini, imezindua rasmi huduma ya malipo ya kimataifa (M-Pesa Global Payments), hatua itakayoleta mageuzi ya kibiashara nje ya mipaka ya Tanzania na kuongeza ujumuiswaji wa…

Read More