Hukumu kesi ya Askofu Sepeku kutolewa Desemba 16
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi, imepanga Desemba 16, 2025 kutoa hukumu katika kesi ya ardhi iliyofunguliwa na mtoto wa Askofu John Sepeku, Bernardo Sepeku. Kesi hiyo ya ardhi namba 378/2023, imefunguliwa na Bernado Sepeku dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Askofu wa Dayosisi ya Dar es Salaam, Jackson…