TBS YAJIPANGA KUANDIKA HISTORIA MPYA SHIMMUTA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZ TV Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetamba kuwa litaibuka kidedea katika Mashindano ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma, Taasisi na Makampuni Binafsi Tanzania (SHIMMUTA) 2025 ambayo yanaendelea mkoani Morogoro. TBS imedai kuwa maandalizi yao ya takribani mwaka mzima yamewaweka katika nafasi nzuri ya kufanya vizuri katika michezo yote wanayoshiriki,…

Read More

Hatari kutotibiwa maambukizi kwenye via vya uzazi

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya ya uzazi wa kina mama wamesema moja ya changamoto kubwa inayosababisha baadhi ya wanawake kushindwa kupata ujauzito ni uwepo wa makovu kwenye mfumo wa uzazi, hususan kwenye kizazi na mirija ya uzazi.  Hayo yamesemwa na  Rais wa Chama cha Madaktari Bingwa wa Afya ya Mama na Uzazi Tanzania, Dk…

Read More

Jeshi la Guinea-Bissau laidhibiti nchi, Rais Embaló akamatwa

Bissau. Kundi la maofisa wa jeshi nchini Guinea-Bissau limetangaza kuiangusha serikali na kuchukua uongozi wa nchi, huku taarifa zikidai kuwa Rais Umaro Sissoco Embaló amekamatwa. Taarifa za awali kutoka kwa vyanzo vya serikali nchini humo, vimeiambia BBC kwamba kiongozi huyo ametiwa mbaroni muda mfupi baada ya milio ya risasi kusikika katika mji mkuu, Bissau, usiku…

Read More

Ibenge akataa unyonge kwa Wydad, ataja mambo mawili

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema wakati wanakutana na Wydad Athletic kesho Ijuma Novemba 28, 2025, matokeo pekee wanayoyataka ni kushinda au sare, lakini sio kupoteza. Kauli hiyo inaonyesha namna ambavyo Ibenge hataki kuingia kinyonge kukabiliana na Wamorocco hao walioanza hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu kwa ushindi wa mabao…

Read More