Mtanzania ashinda tuzo kubwa ya uhifadhi barani Afrika

Dar es Salaam. Mwanaharakati wa uhifadhi wa mazingira kutoka Tanzania, Rahima Njaidi, ametangazwa mshindi wa Tuzo ya Tusk ya Uhifadhi Barani Afrika, moja ya tuzo zinazoheshimika zaidi barani humo kwa kutambua uongozi wa kipekee na mchango mkubwa katika kulinda wanyamapori na mifumo ya ikolojia. Rahima, ambaye kitaaluma ni mwanasheria na Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa…

Read More

Miaka mitatu ya ahadi zilizovunjika – maswala ya ulimwengu

Mikopo: Sergey Bobylev/Ria Novosti/Anadolu kupitia Picha za Getty Maoni na Inés M. Pousadela (Montevideo, Uruguay) Alhamisi, Novemba 27, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Montevideo, Uruguay, Novemba 27 (IPS) – Miaka mitatu iliyopita, Kapteni Ibrahim Traoré nguvu iliyokamatwa Huko Burkina Faso na ahadi mbili ambazo zimeonekana kuwa tupu: kushughulikia shida ya usalama ya nchi hiyo…

Read More

Sheria inavyovibana vicoba, vikundi vya kusaidiana

Vilio, kupoteza fedha, usiri uliokithiri ni miongoni mwa mambo yaliyokuwa na bado yanaendelea kuvikabili baadhi ya vikundi vya huduma ndogo za kifedha ikiwamo vile vya kuweka akiba na mikopo (Vicoba). Vikundi hivi mbali na kuwa msaada wa kuinua watu wengi kiuchumi lakini wakati mwingine viligeuka shubiri baada ya walioaminiwa kukimbia na fedha au kuzitumia wakiwa…

Read More

Ripoti yaeleza hali ya mishahara nchini, wachumi wataja athari malipo kiduchu

Wakati kilio cha ajira kikiendelea miongoni mwa vijana nchini hususani wanaomaliza elimu katika ngazi mbalimbali, takwimu zinaonyesha kuwa asilimia 60.65 ya waajiriwa wanalipwa mshahara usiozidi Sh300,000. Kiwango hicho ni kwa mujibu wa takwimu hizo za Statistical Abstract 2024 zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) zinaonyesha kuwa katika waajiriwa milioni 5.534 wanaolipwa mishahara kila…

Read More

SERIKALI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANAFUNZI WENYE ULEMAVU NCHINI

Na Mwandishi wetu -Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kupitia  Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imeendelea kuiishi kauli mbiu ya “Kazi na Utu” kwa kufanya ziara maalum ya kuwatembelea wanafunzi wenye mahitaji maalum waliopo vyuo vikuu Nchini kwa lengo la kusikiliza changamoto zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi ili kuwasaidia…

Read More

Kwa nini ATM bado muhimu enzi hizi za malipo kidijitali

Tanzania ipo katikati ya enzi ya malipo ya kidijitali ambapo matumizi ya mifumo mbalimbali ya malipo kielektroniki imekuwa njia pendwa ya kufanya miamala ya kifedha baina ya mamilioni ya watu kila siku. Hata hivyo, Mashine za Kutolea Pesa (ATM) bado zinaendelea kuongezeka na kuendelea kuwa sehemu muhimu ya utoaji wa mfumo wa kifedha, jambo linaloweza…

Read More

Shangwe, vilio washtakiwa 198 wakiachiwa huru Dar

Dar es Salaam. Shangwe, vilio vya furaha na huzuni vilitawala kwa muda katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakati washtakiwa 198 kati ya 216 wa kesi za uhaini, walipofutiwa mashtaka na kuachiwa huru. Washtakiwa hao waliachiwa huru jana Jumanne, Novemba 25, 2025 baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) kuwasilisha taarifa mahakamani ya kutokuwa na…

Read More

Simba yaifuata Stade Malien na matumaini kibao

SIMBA inatarajiwa kuondoka alfajiri ya kesho Alhamisi Novemba 27, 2025 kwenda Bamako nchini Mali kuwahi pambano la pili la Kundi D la Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade Malien, huku mastaa wa timu hiyo wakiwa na matumaini makubwa ya kufanya vizuri baada ya awali kuanza na kichapo nyumbani mbele ya Petro Atletico. Simba inaondoka…

Read More