Simbu aifuata tuzo ya mwanariadha bora wa dunia Ufaransa

Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, kutoka timu ya Jeshi la Wananchi (JWTZ), Staff Sajenti Alphonce Simbu, ameondoka nchini leo asubuhi Novemba 27, 2025 kuelekea Ufaransa kwa ajili ya kushiriki sherehe za tuzo za wanariadha bora wa mwaka 2025 zinazoandaliwa na Shirikisho la Riadha la Dunia. Hafla hiyo itafanyika Novemba 30, 2025 jijini Monaco nchini Ufaransa,…

Read More