‘WATANZANIA MSIKUBALI KUYUMBISHWA, KUINGIZWA KATIKA MACHAFUKO

Mwandishi wetu,Michuzi TV WATANZANIA wameshauriwa wasikubali kuyumbishwa na wanaharakati ambao wenyewe wapo kwa ajili ya kuiona nchi ya Tanzania inavurugika na kukosa utulivu. Ushauri huo umetolewa na leo Novemba 30 ,2025 jijini Dar es salaam na wanaharakati huru ambao wamua kueleza hatua kwa hatua mbinu chafu ambazo zinatumiwa na baadhi ya wanaharakati ambao wamekuwa wakitafuta…

Read More

Aisha Masaka kumfuata Opah Hispania

MABOSI wa Brighton & Hove Albion wanaangalia uwezekano wa kumtoa kwa mkopo mshambuliaji wa Kitanzania, Aisha Masaka kwenda Hispania baada ya kutopata nafasi ya kucheza kikosini hapo. Mwanaspoti inafahamu mshambuliaji huyo wa timu ya taifa, Twiga Stars amebakiza mkataba wa mwaka mmoja England kati ya miwili na utamalizika mwishoni mwa msimu huu. Kiongozi mmoja anayemsimamia…

Read More

DC amuombea ushirikiano DED mpya Siha

Siha. Mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, Christopher Timbuka, amewataka watumishi wa Halmashauri ya Siha kumpa ushirikiano Mkurugenzi Mtendaji mpya wa halmashauri hiyo, Hellen Mwembeta, ili aweze kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kuwaletea wananchi maendeleo. Timbuka alitoa kauli hiyo Novemba 29, 2025 katika ukumbi wa RC Sanya Juu, wakati wa hafla ya kumuaga…

Read More

Sababu ya Suzana Adama kurejea Bongo

MENEJA wa mchezaji Suzana Adam, James Mlaga amesema sababu za kiungo huyo kurejea Bongo na kujiunga na Tausi FC inayoshiriki Ligi ya Wanawake ni kumjengea hali ya kujiamini baada ya kukaa nje kwa msimu mzima. Suzana msimu uliopita aliitumikia FC Masar ya Misri alikodumu kwa misimu miwili tangu alipojiunga nayo msimu wa 2022/23 akitokea Fountain…

Read More

Wahitimu wapewa mbinu kukabili tatizo la ajira kidijitali

Arusha. Wakati Baraza la Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki (IUCEA), likionyesha zaidi ya asilimia 50 ya wahitimu katika ukanda huo hawapati ajira, wahitimu wametakiwa kutumia teknolojia kujenga mifumo bunifu na salama inayotatua changamoto za kwenye jamii kama nyenzo muhimu ya kutengeneza uchumi. Kulingana na uchunguzi wa IUCEA, ukosefu wa ujuzi unaohitajika katika sekta muhimu, hususan…

Read More

Zanzibar yajitenga na askari wake kuhusika Oktoba 29

Unguja. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Hamza Hassan Juma, amesema hakuna askari wa vikosi vya idara maalumu aliyesafiri kutoka Zanzibar kwenda Tanzania Bara kushiriki katika matukio yaliyotokea  Oktoba 29, 2025. Aidha, amewasihi vijana kuacha kuichokoza Serikali kwani hiyo ni dola na haitamvumilia mtu mwenye nia ya kuichafua nchi kwa…

Read More

BALOZI MULAMULA- MICHEZO NI MUHIMU KWA AFYA,ELIMU NA MAENDELEO

::::::::: Mjumbe Maalum wa Umoja wa Africa kuhusu Wanawake Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula ameshiriki Tamasha la Michezo la ‘Ladies First’ la wanariadha wanawake huku akisisitiza umuhimu michezo katika kujenga afya njema na kuchochea elimu na maendeleo. Akizungumza katika Tamasha hilo, lililofanyika Jijini Dar es Salaam kukusanya wanamichezo mbalimbali likifadhiliwa na Shirika la Japan…

Read More

Waziri Mavunde aahidi kudhibiti uholela, wachimbaji walia bei ya Cyanide

Geita. Waziri wa Madini, Antony Mavunde amesema Serikali imejipanga kudhibiti tabia ya baadhi ya wamiliki wa leseni kuhodhi maeneo makubwa bila kuyaendeleza, akisema utaratibu huo umekuwa chanzo kikuu cha migogoro baina ya wachimbaji wakubwa na wadogo nchini. Akizungumza jana Jumamosi Novemba 29, 2025, katika hafla ya kukabidhi leseni kwa wachimbaji wadogo wilayani Nyang’wale, Mavunde alisema…

Read More