WADAU WA TEKNOLOJIA WA KUTOKA AFRIKA WAKUTANA ARUSHA KUJADILI MATUMIZI BORA YA AI KWA UCHUMI WA TAIFA

Na Pamela Mollel, Arusha. Mkutano wa kimataifa wa teknolojia ya akili bandia (AI) unaofanyika jijini Arusha umeendelea kuvuta wadau mbalimbali wa sekta ya TEHAMA, serikali na taasisi za huduma za umma, wote wakiwa na lengo la kujadili namna AI inaweza kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kuboresha utendaji wa taasisi za Afrika. Akizungumza kwenye mkutano huo,…

Read More

DKT. MWIGULU AWAONYA WAVUNJIFU WA SHERIA

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amevitaka vyombo vinavyosimamia usalama barabarani vitekeleze sheria hizo bila upendeleo kwani tabia ya kuogopana na kuoneana aibu imechangia baadhi ya watu kukwepa wajibu wakati wengine wakibebeshwa mzigo wa sheria.  “Yeyote atakayevunja sheria akamatwe na hatua zichukuliwe kwa usawa. Huyu mmoja anavunja sheria anakamatwa, analipa. Huyu mwingine anavunja mbele yake anaachwa….

Read More

Matumizi ya gesi asilia yanavyokuza mapato

Dar es Salaam. Ukuaji wa matumizi ya gesi asilia maeneo mbalimbali nchini, umetajwa kuwa sababu ya kukua kwa mapato yatokanayo na nishati hiyo inayozalishwa eneo la Songosongo na Mnazi bay, Ripoti ya Tanzania Abstract 2024 inaeleza.Kwa mujibu wa ripoti hiyo ya hivi karibuni iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), mapato ya gesi asilia…

Read More

Madaraja yanayounganisha mikoa ya kusini kukamilika Desemba 24

Kilwa. Wakati ujenzi wa madaraja ya Somanga, Mtama, Kitapwa, Mikereng’ende na Matandu, yaliyoharibiwa na mvua za El Niño mkoani Lindi, ukiwa umekamilika kwa asilimia 88, Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewaagiza makandarasi kuongeza kasi ya kazi ili ujenzi huo ukamilike kwa wakati. Madaraja hayo, ambayo yaliharibu barabara kuu inayounganisha Dar es Salaam na mikoa ya…

Read More