SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA YATAKIWA KUTUMIA MBINU ZA KISASA ZA UCHUNGUZI WA MALALAMIKO DHIDI YA VIONGOZI..

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imetakiwa kutumia mbinu za kisasa za uchunguzi ikiwa ni pamoja na kuanzisha programu za utafiti, kuchunguza na kutoa elimu ya uadilifu kwa umma ili kupunguza mmomonyoko wa maadili nchini. Wito huo umetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani…

Read More

Silaha za kulipuka sasa zinazoongoza kwa sababu ya vifo vya watoto katika mizozo ya ulimwengu – maswala ya ulimwengu

Mnamo tarehe 10 Oktoba 2025, maelfu ya familia za Palestina zinatembea kando ya barabara ya pwani kurudi Kaskazini mwa Gaza, huku kukiwa na uharibifu mkubwa wa miundombinu. Mikopo: UNICEF/Mohammed Nateel na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Novemba 26, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Novemba 26 (IPS) – Katika miaka ya…

Read More

Mwanasiasa mkongwe Ali Ameir Mohamed afariki dunia

Dar es Salaam. Kifo cha Ali Ameir Mohamed kimeacha kumbukumbu kuwa alipokuwa Naibu Katibu Mkuu wa kwanza wa CCM Zanzibar, alikabiliana na changamoto za kisiasa zilizojitokeza baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa mwaka 1995. Pia, kifo chake kimeacha kumbukumbu kuwa akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, alikabiliana na msukosuko wa…

Read More

Wanawake 137 duniani huuawa kwa siku

Dar es Salaam. Mauaji ya wanawake duniani yameendelea kuwa tishio kwa usalama wa kundi hilo, huku takwimu zikionesha idadi ya wanauoawa kwa mwaka iko juu. Takwimu za hivi karibuni za Umoja wa Mataifa (UN) zikionesha kuwa, mwaka 2024 pekee, wanawake na wasichana 50,000 waliuawa na wenza wao wa karibu au wanafamilia, sawa na wastani wa…

Read More