Mwigulu aonya madereva wa Serikali wanaokiuka sheria

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ametoa onyo kwa watumishi wa Serikali na wasimamizi wa sera wanaokiuka kanuni za usalama barabarani, akisema mwenendo huo unachochea ‘kutokuwa na usawa’ katika utekelezaji wa sheria baina yao na wananchi wa kawaida. Amesisitiza kanuni za usalama barabarani nchini Tanzania zinawahusu watu wote kwa usawa na hazipaswi kutekelezwa…

Read More

Wanunuzi wa Madini Wajipanga kwa Mnada Mkubwa Arusha

Arusha Wanunuzi wa madini kutoka maeneo mbalimbali nchini wameendelea kujitokeza katika Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) jijini Arusha, wakikagua na kuhakiki ubora wa madini yatakayouzwa katika Mnada wa Tatu wa Madini ya Vito unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba 2025. Ukaguzi huo ni hatua muhimu inayolenga kuhakikisha uwazi, ushindani na ongezeko la thamani ya madini nchini,…

Read More

MIKOPO YA MILIONI 290 YATOLEWA KWA MAKUNDI MAALUMU CHATO

………………….. CHATO  HALMASHAURI ya wilayani Chato mkoani Geita imetoa mkopo wa kiasi cha shilingi milioni 294 kwa vikundi vya wanawake,Vijana na watu wenye Ulemavu ili kuinua uchumi wa makundi hayo. Fedha hizo ni utekelezaji wa agizo la serikali kwa kila halmashauri za wilaya, Manispaa na Majiji nchini kutenga kiasi cha aslimia 10 ya mapato yake…

Read More

Vijana Tunduma wamtwisha Nanauka zigo la mikopo

Baadhi ya Vijana katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe wamesema ukosefu wa uelewa wa pamoja na jukwaa la kuwasemea ni miongoni mwa changamoto zinazokwamisha kushiriki kikamilifu katika maendeleo, licha ya kuwepo kwa mipango ya maendeleo ya vijana. Vijana hao wametoa kero hiyo wakati wa ziara ya Waziri wa Nchi Ofisi Ya…

Read More

Manula avunja ukimya Azam FC

BAADA ya kukosekana uwanjani kwa muda mrefu, kipa wa Azam FC, Aishi Manula amesema anapambana kwa nguvu kumshawishi kocha Florent Ibenge ampe nafasi kwani yupo tayari kuitumikia timu hiyo. Manula aliyerejea Azam msimu huu baada ya kumaliza mkataba akiwa na Simba, hajacheza mechi yoyote ya mashindano tangu atue hapo, huku kikosi hicho kikiwatumia makipa Zuberi…

Read More

Riadha Wanawake kurindima siku tatu Dar

MSIMU wa saba wa mashindano ya Riadha ya Wanawake utafanyika kuanzia Novemba 28, 2025 hadi 30, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Mashindano hayo yatakayofanyika kwa siku tatu, yatatanguliwa na semina kwa wanariadha na waamuzi itakayofanyika Novemba 28, 2025 uwanjani hapo. Akizungumza na waandishi wa habari leo Novemba 26, 2025, Katibu Mtendaji…

Read More

Mahakama yatupilia mbali maombi ya makada watatu wa TLP

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Arusha, imetupilia mbali maombi ya makada watatu wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), waliokuwa wakiomba kuwasilisha maombi ya marejeo ya Mahakama kupinga mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika mwaka huu na kuchagua viongozi. Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo baada ya kukubaliana na pingamizi lililowasilishwa na wakili wa wajibu…

Read More