Uchaguzi wa mbunge Siha kufanyika Desemba 30
Siha. Ikiwa zimebaki siku 33 kabla ya kufanyika uchaguzi wa mbunge Jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro wananchi wametakiwa kujitokeza kupiga kura Desemba 30, mwaka huu katika uchaguzi huo. Uchaguzi huo ulisogezwa mbele na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kufuatia kifo cha aliyekuwa mgombea wa ubunge kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Daud Ntuyehabi kilichotokea…