TLS yaenda mahakamani kupinga amri ya IGP

Dar es Salaam. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kimefungua shauri la Kikatiba dhidi ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), kikipinga amri yake ya kuzuia watu kutoka nje (curfew) wakati wa uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025. Kesi hiyo imefunguliwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo Dar es Salaam. Walalamikiwa wengine katika shauri hilo lililopokewa…

Read More

BALOZI WA CUBA AONGOZA KUMBUKIZI YA CASTRO MKOANI PWANI

Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema mkoa huo ni kitovu cha viwanda na ukanda wa miradi ya kimkakati, hivyo amewahimiza wawekezaji wa ndani na nje kuchangamkia fursa zilizopo. Amesema Pwani inaendelea kuwa eneo la dira ya uwekezaji kutokana na upatikanaji wa miundombinu rafiki ikiwemo barabara, reli, bandari, umeme na…

Read More

Sababu mechi za Wagosi kuondolewa usiku Tanga

KAMA ni shabiki wa Coastal Union (Wagosi wa Kaya) na ulikuwa na mipango ya kutaka kushuhudia mechi za usiku kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga wakati wababe hao wa zamani wa Ligi ya Bara wakicheza, taarifa ikufikie kwamba zinapigwa mchana kweupe. Coastal iliamua mechi zote za nyumbani kupigwa usiku kutokana na uwanja huo kufungwa taa kama…

Read More

Aliyekatwa uume na mkewe aomba msaada, amsamehe mkewe

Arusha. “Nawaomba Watanzania, wananchi wenzangu mnisaidie niweze kupata matibabu kokote ya kuwekewa kitu cha kutolea  mkojo, nateseka sana naombeni mnisaidie maana nimeumia sana, vijana wenzangu, kinamama naombeni mnisaidie .” “Hali yangu siyo nzuri sana ninaomba Watanzania wanisaidie kulipa gharama za matibabu, wanishike mkono ili niweze kulipa kwani nimeambiwa hadi jana gharama ni zaidi ya Sh1.5…

Read More

Sababu mwanafunzi UDOM kujitumbukiza kisimani

Dodoma. Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Said Kabuga amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima huku taarifa zikieleza kuwa ni hofu ya kupoteza fedha nyingi kwenye kamali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gallus Hyera amethibitisha tukio hilo akisema taarifa za awali zinaonyesha alijitupa mwenyewe kisimani. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo…

Read More