Makao makuu ya Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria yazinduliwa

Musoma. Makao makuu ya Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria ( LVBC) chini ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yamezinduliwa hatua ambayo imeelezwa kuwa pamoja na mambo mengine itaimarisha zaidi utafiti, uratibu na ubunifu kuhusu masuala ya kimazingira,  kijamii na kiuchumi yanayoathiri Bonde la Ziwa Victoria. Ofisi hizo za LVBC imejengwa Jijini Kisumu nchini Kenya…

Read More

Haya hapa majina walioitwa mafunzo ya awali Jeshi la Magereza

Dar es Salaam. Jeshi la Magereza limetangaza orodha ya majina ya waliochaguliwa kuhudhuria mafunzo ya awali ya jeshi hilo yatakayoendeshwa katika Chuo cha Magereza, kilichopo Kiwira, Wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumapili Novemba 30, 2025 kwenye mitandao ya kijamii ya jeshi hilo vijana hao wanatakiwa kuripoti Ofisi za Magereza…

Read More

Mkutano Simba waacha maswali kibao, Mangungu atakiwa kujiuzulu

MKUTANO Mkuu wa Simba wa mwaka 2025, umeisha saa 5:59 asubuhi, huku ukiibua maswali kwa wanachama kutokana na aina ya ulivyomalizika. Mkutano huo ambao awali ulihudhuriwa na wanachama 720, kisha baadae kuongezeka hadi 998, umemalizika huku wanachama hao wakiwa hawajui mustakabali wa yale yanayotakiwa kufanyiwa marekebisho. Hatua hiyo, imejiri baada ya mapendekezo ya mabadiliko ya…

Read More

Simba inazitaka Sh 29 Bilioni msimu huu

SIMBA imetangaza kuwa, inakusudia kukusanya kiasi cha Sh 29.5 Bilioni kwenye msimu huu wa 2025/26 kama bajeti ya klabu hiyo. Kiasi hicho ni ongezeko la asilimia 13.5 kutoka bajeti ya mwaka uliopita ambayo ilikuwa ni kiasi Sh 26 Bilioni ikifanikiwa kukusanya Sh 24 Bilioni pekee ikipungukiwa sh 1.4 Bilioni. “Kuna mambo yalitukwamisha tukashindwa kufika kwenye…

Read More