Gaza Inakabiliwa na Kuanguka Mbaya zaidi Uchumi Iliyowahi Kurekodiwa, Shirika la Biashara la UN linaonya – Maswala ya Ulimwenguni

Akiongea wakati wa uzinduzi wa Unctad2025 REport juu ya uchumi wa eneo lililochukuliwa la PalestinaNaibu Katibu Mkuu wa shirika hilo Pedro Manuel Moreno alisema miongo kadhaa ya vizuizi vya harakati, pamoja na shughuli za kijeshi za hivi karibuni, “walikuwa” wamefuta miongo kadhaa ya maendeleo “na kuwaacha Gaza na Benki ya Magharibi wanakabiliwa na uharibifu wa…

Read More

Idadi vifo vurugu za Oktoba 29 bado giza nene

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amekutana na maswali kutoka kwa wahariri kuhusu matukio ya mauaji, utekaji na idadi ya watu waliopoteza maisha Oktoba 29, maswali ambayo kwa siku kadhaa yamekuwa yakizungumzwa na wananchi na kusambaa kwenye mitandao ya kijamii. Akiwa katika mkutano na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari leo Novemba 25,…

Read More

Niffer mambo bado magumu, wenzake huru

Dar/Mikoani. Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) ameendelea kuwafutia mashtaka washtakiwa wa kesi za uhaini, lakini  mfanyabiashara wa vipodozi, Jenifer Jovin (26), maarufu Niffer, anaendelea kusalia rumande kwa kuwa mashtaka dhidi yake hayajafutwa. Wakati hali ikiwa hivyo kwa Niffer, mwandishi wa habari wa Kituo cha Ayo TV na wafuasi sita wa Chama cha Demokrasia na…

Read More

Benki ya Exim yaanza uhamasishaji wa afya mahali pa kazi

Dar es Salaam. Kisukari kinaendelea kuwa miongoni mwa changamoto kubwa za kiafya zinazokua kwa kasi nchini Tanzania, huku maelfu ya watu wakiishi na ugonjwa huu bila kujua hali zao. Uelewa mdogo, kuchelewa kufanya vipimo, pamoja na kuongezeka kwa mitindo ya maisha isiyo rafiki kwa afya ikiwa ni pamoja na ulaji usiofaa, kutofanya mazoezi na msongo…

Read More

Hivi ndivyo ilivyo vigumu kupunguza uzito wa mwili kuliko kuongeza

Dar es Salaam. Wakati kesho Novemba 26, 2025 dunia ikiadhimisha siku ya kupinga uzito uliokithiri (anti-obesity day) wataalamu wametahadharisha hali hiyo kuwa ni hatari ya magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo kiharusi, moyo, saratani, kisukari, shinikizo la juu la damu. Kitaalamu uzito uliokithiri ni hali ya uwepo wa hifadhi ya chakula kisichotumika (mafuta) mwilini ambayo kiafya ni hatari…

Read More

Profesa Kabudi: Sekta ya habari yapiga hatua, waandishi 3,200 watambuliwa kitaaluma

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, amesema jumla ya waandishi wa habari 3,200 nchini wamepatiwa ithibati na kutambuliwa rasmi kufanya kazi ya kitaaluma. Akizungumza katika mkutano baina ya Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba, na wahariri pamoja na waandishi wa habari uliofanyika leo Novemba 25, 2025, katika…

Read More

Wafungwa watatu raia wa China watinga mahakamani kutoa ushahidi kesi ya kughushi msamaha wa Rais

Dar es Salaam. Mashahidi watatu raia wa China ambao pia ni wafungwa wanaotumikia vifungo gerezani wametinga katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kutoa ushahidi katika kesi ya kughushi msamaha wa Rais kwa wafungwa inayomkabili aliyekuwa mkuu wa Gereza la Ukonga, Josephat Mkama na wenzake wawili. Mkama na wenzake, Sibuti Nyabuya, aliyekuwa ofisa Tehama wa Gereza…

Read More