DPP awafutia mashitaka ya uhaini mwandishi wa Ayo Tv, wengine watatu
Arusha. Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru na kuwafutia mashtaka ya uhaini washtakiwa wanne akiwemo mwandishi wa habari wa Ayo Tv, Godfrey Ng’omba. Wengine walioachiwa ni watoto watatu wa kiume wenye umri wa miaka 13, 16 na 17 (waliokuwa mahabusu ya watoto) ambao kwa pamoja walikuwa wakishtakiwa kwa kesi ya uhaini. Uamuzi huo umefikiwa…