Watanzania waitwa kupima magonjwa yasiyoambukiza bure

Dar es Salaam. Watanzania wameombwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam kuanzia Ijumaa, Novemba 28 hadi Jumapili, Novemba 30, 2025, kupima magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) bure. Katika kambi hiyo kutafanyika uchunguzi wa magonjwa mbalimbali ikiwemo kiharusi, magonjwa ya moyo, saratani, kisukari na shinikizo la juu la damu. Kutatolewa pia matibabu…

Read More

Serikali kuwakopesha wajasiriamali Sh200 bilioni

Songwe. Serikali inatarajia kutoa Sh200 bilioni kwa ajili ya kutunisha mfuko wa mikopo ya wajasiriamali na vijana nchini, fedha ambazo zitapitia benki ya NMB ndani ya siku 100 za serikali ya awamu ya sita. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Maendeleo ya Vijana), Joel Nanauka akiwa katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma…

Read More

Ibenge awapa maujanja mastaa Azam

AZAM FC tayari ipo Zanzibar ikijiandaa kuikaribisha Wydad Athletic kutoka Morocco katika mechi ya pili Kundi B la Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kupoteza mechi ya kwanza ugenini kwa mabao 2-0 mbele ya AS Maniema. Kuelekea mechi dhidi ya Wydad itakayochezwa Ijumaa Novemba 28, 2025 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, Kocha Mkuu…

Read More

Tafiti 41 kuisaidia Serikali majibu ya changamoto za kiuchumi

Mwanza. Serikali inatarajia kunufaika na matokeo ya tafiti 41 za ndani na nje ya nchi zinazolenga kutafuta majibu ya changamoto zinazoikabili uchumi wa Tanzania katika kipindi cha mabadiliko ya kijamii na kiuchumi duniani. Kwa siku tatu, watafiti na wanataaluma kutoka Tanzania na nchi mbalimbali ikiwemo Lithuania, Eswatini, Afrika Kusini, Uingereza, Urusi na Algeria wanajadili mawasilisho…

Read More

Kiswanya hataki mchezo Namungo | Mwanaspoti

KIUNGO wa Namungo, Abdulkarim Kiswanya amesema kupata nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha timu hiyo si jambo jepesi kutokana na ubora wa nyota waliopo. Kiswanya ambaye anaitumikia Namungo kwa mkopo akitokea Azam FC ambayo alipandishwa timu ya wakubwa msimu huu kutokea ile ya vijana chini ya miaka 20, alisaini mkataba wa miaka mitano utakaotamatika 2030…

Read More

MTAKUWWA Iringa watakiwa kuwa mabalozi kutokomeza ukatili

Iringa. Wadau na wajumbe wa Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA II) mkoani Iringa wametakiwa kutumia uzoefu wao wa kazi na kujitolea kuelimisha jamii katika mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili, hasa katika kaya. Wito huo umetolewa leo Novemba 25, 2025 katika kikao kazi cha MTAKUWWA kilichofanyika katika…

Read More

Mashaka: Mchongo ni nafasi tu

MSHAMBULIAJI wa Simba anayecheza JKT Tanzania kwa mkopo, Valentino Mashaka amesema kwa sasa anachotaka ni nafasi tu ndani ya kikosi hicho ili kuonyesha ubora wake. Valentino ambaye alisajiliwa Simba msimu uliopita akitokea Geita Gold, huku akimwaga wino wa miaka mitatu kuwatumikia mabosi hao wa Msimbazi, anaitumikia JKT Tanzania kwa mkopo wa msimu mmoja. Wakati msimu…

Read More