Pamba Jiji yavunja rekodi yake
PAMBA Jiji imevunja rekodi ya msimu uliopita ndani ya raundi saba za kwanza Ligi Kuu Bara kiasi cha kuwaibua wakongwe wa timu hiyo akiwemo Khalfan Ngassa. Pamba ambayo kwa sasa ni kinara Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 12, msimu uliopita ndani ya mizunguko saba ya kwanza ilikuwa haijaonja ushindi wa kwanza katika ligi. Msimu…