PM Mwigulu Atoa Takwimu Zilizotikisa Taifa Baada ya Vurugu Nov. 29 – Video – Global Publishers

Last updated Nov 25, 2025 Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba. Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kiwango cha uharibifu kilichotokea katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam hakikubaliki na hakioneshi taswira ya taifa linalotaka kusonga mbele. Akizungumza kuhusu tukio hilo, Waziri Mkuu amesema uharibifu huo umeathiri mali za serikali, sekta binafsi na maisha ya…

Read More

Akatwa mkono mgogoro wa ekari sita za urithi

Kishapu. Mgogoro wa ardhi katika Kijiji cha Mwajipugila, wilayani Kishapu, mkoani Shinyanga, uliodumu kwa zaidi ya miaka saba umechukua sura mpya baada ya ndugu wa ukoo mmoja kumkata mwingine mkono wakizozana kuhusu umiliki wa ekari sita za urithi. Akizungumza leo, Novemba 25, 2025, katika kikao cha usuluhishi kilichofanyika wilayani Kishapu, kikiongozwa na mkuu wa wilaya…

Read More

RAIS MAHAMA AWATAKA WAHASIBU WA NCHI ZA AFRIKA KUSIMAMIA IPASAVYO MATUMIZI YA FEDHA ZA UMMA

Na. Benny Mwaipaja, Accra, Ghana Rais wa Ghana, Mhe. John Dramani Mahama, amewataka Wahasibu Barani Afrika kuhakikisha kuwa wanazishauri na kuzisimamia nchi zao kuwa na matumizi sahihi ya fedha za umma ili kuharakisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya nchi hizo kwa kutumia mifumo thabiti ya kidigitali na akili unde (artificial Intelligence). Mhe. Mahama ametoa…

Read More

Mwanamke Aliyedhaniwa Amefariki Azinduka Ndani ya Jeneza Thailand – Global Publishers

Mwanamke mmoja nchini Thailand aliwashangaza na kuwaogopesha wafanyakazi wa hekalu baada ya kuanza kusogea akiwa ndani ya jeneza lake akiwa tayari amefikishwa kwa ajili ya kuchomwa moto. Tukio hilo limetokea katika Hekalu la Wat Rat Prakhong Tham, lililopo jimbo la Nonthaburi, nje kidogo ya Bangkok. Video iliyochapishwa kwenye ukurasa wa Facebook wa hekalu hilo inaonyesha…

Read More

TAASISI YA ELIMU TANZANIA (TET) YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA VITABU TANZANIA

Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) inashiriki katika maonesho ya Kimataifa ya Vitabu Tanzania,yanayofanyika katika Viwanja vya Maktaba kuu ya Taifa jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo yalianza tarehe 21 Novemba na yanatarajiwa kumalizika tarehe 26, Novemba 2025, ambapo taasisi na mashirika mbalimbali ya ndani na  nje ya nchi  yamejitokeza kushiriki.  Katika maonesho hayo TET, imetoa…

Read More

Anayedaiwa kuuwa mtoto naye auawa na wananchi

Musoma. Mtoto Mariam Paye, mkazi wa Mtaa wa Zanzibar, Manispaa ya Musoma mkoani Mara, amefariki dunia baada ya kutumbukizwa kwenye shimo la choo na mtu anayedaiwa kuwa na tatizo la akili. Mtuhumiwa huyo naye amefariki dunia baadaye kutokana na kipigo alichopata kutoka kwa wananchi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo, amethibitisha kutokea kwa…

Read More