Wizara ya Madini yafuta leseni 73 za uchimbaji, utafiti

Dodoma. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amezifuta leseni 73 za uchimbaji na utafiti, akisisitiza kuwa kazi hiyo itakuwa endelevu kwani hakuna leseni inayotolewa kama mapambo. Leseni zilizofutwa zinajumuisha 44 za utafiti na 29 za wachimbaji wa kati. Leseni hizo ni miongoni mwa 205 ambazo wamiliki wake waliandikiwa hati za makosa na kutakiwa kujibu kwa kuyarekebisha…

Read More

Vita vya Zanzibar kuokoa turtle zilizo hatarini zinaongezeka kwani utafiti wa ulimwengu unafichua tishio la microplastic – maswala ya ulimwengu

Ali Hamadi, mhifadhi wa turtle, hulisha turtle kuogelea katika ziwa huko Zanzibar. Mikopo: David Duni/IPS na Kizito Makoye (Zanzibar, Tanzania) Jumanne, Novemba 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Zanzibar, Tanzania, Novemba 25 (IPS) – Asubuhi ya joto huko Matemwe, umati mdogo unakusanyika nyuma ya kizuizi cha kamba wakati mchanga unapoanza kutetemeka. Kichwa kidogo kinasukuma…

Read More

Bahari inapomeza historia ya wakazi wa pwani -1

Tanga/Pemba. Kwa wenyeji wa Pangani, simulizi ya Kisiwa cha Maziwe ni kama vile taswira ya dunia inayobadilika mbele ya macho yao. Miaka michache nyuma, Maziwe kilikuwa kisiwa chenye mandhari nzuri ya miti mikubwa iliyotoa kivuli, vibanda vya wavuvi vilikuwa vingi na kasa wakikitumia kutaga kwa wingi. Leo hii mandhari ni tofauti, Maziwe si tena ile…

Read More

Ndoto, hofu shule na vyuo kuzalisha wabunifu

Dar es Salaam. Mjadala  kama mfumo wa elimu nchini Tanzania unazalisha wahitimu au wabunifu umeendelea kushika kasi, hasa katika zama hizi ambazo dunia ya kazi inabadilika kwa kasi kubwa kutokana na maendeleo ya teknolojia na ujio wa Akili Unde (AI). Wadau mbalimbali wa elimu, teknolojia, na wajasiriamali wamekuwa wakijadili namna mitalaa na mazingira ya kujifunzia…

Read More