Wanaotumia mtandao wa X sasa kujulikana walipo

Dar es Salaam. Katika kudhibiti matumizi ya akaunti feki pamoja na wale wanaotoa taarifa za uongo mtandao wa X (zamani Twitter), umekuja na kipengele kipya kitakachoonyesha mahali alipo mtumiaji wa akaunti husika. Kupitia kipengele hicho cha ‘About this Account’ inatonesha nchi ambayo akaunti imefunguliwa, mtumiaji amebadili jina la akaunti mara ngapi, mtumiaji anatumia akaunti husika…

Read More

Tuwasomeshe kisha tuwaajiri wenye ulemavu

Dar es Salaam. Katika jamii yoyote inayotaka kuwa ya haki, usawa na maendeleo ya kweli, hakuna kundi linalopaswa kuachwa nyuma. Moja ya makundi ambayo mara nyingi husahaulika au kupuuzwa ni watu wenye ulemavu. Hili ni kundi muhimu ambalo, kama litapewa nafasi sawa katika elimu na ajira, linaweza kuwa nguzo imara ya maendeleo ya kijamii na…

Read More

Mambo ya kufanya safari ya Tanzania ya sayansi

Simiyu. Kwa miaka mingi, wanafunzi wanaochukua masomo ya sayansi wamekuwa wakikumbwa na changamoto za miundombinu, uhaba wa walimu wenye utaalamu na mazingira yasiyo rafiki kwa kujifunzia. Hata hivyo, kwa mujibu wa Rais Samia Suluhu Hassan alipolizindua Bunge la 13 Novemba 14, 2025, Serikali imepanga kuanza maboresho  yanayolenga elimu inayojikita katika ujuzi, hususan kwenye masomo ya…

Read More

Daniel; Mwalimu alivyoruka kiunzi cha unyanyapaa dhidi ya uziwi

Dodoma. Mara baada ya kuingia kwenye chumba cha mafunzo yaliyoandaliwa kwa ajili ya wadau wa elimu, nilibaini jambo lililonishangaza. Ilikuwa mara ya kwanza kukutana na mkufunzi asiyesikia. Alikuwa akizungumza kwa kujiamini akitaka watu wamsikilize vizuri, kwa haraka ilikuwa ni vigumu kwangu kubaini  kwamba yeye mwenyewe hasikii anachokisema hadi pale mwenyewe alipoliweka wazi hilo na pale…

Read More

AFRIKA YATOA MSIMAMO COP 30

  Mwenyekiti wa Kundi la Majadiliano la Afrika (AGN) Dkt. Richard Muyungi (kushoto) ambaye pia ni Mjumbe Maalum na Mshauri wa Rais katika masuala ya Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi akiwasilisha taarifa kwa niaba ya nchi 54 za Kundi la Afrika katika siku ya mwisho ya Mkutano wa 30 wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko…

Read More

Moto wa UEFA Kuwaka Leo, Beti Yako Unampa Nani?

LIGI ya mbaingwa Ulaya sasa imerejea kwa ari zote huku nafasi ya wewe kuibuka bingwa ikiwa wazi kabisa kwako. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia na ubashiri sasa na Meridianbet. Mapema kabisa Ajax atakipiga dhidi ya Benfica ambapo tofauti ya pointi kati yao mpaka sasa ni ni hakuna kwani mpaka sasa…

Read More

‘Dk Mapana ni chachu ya mabadiliko kwa vijana’

Dar es Salaam. Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumteua Dk Kedmon Mapana kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, wadau wameeleza namna kiongozi huyo alivyosaidia vijana kimaendeleo. Kabla ya uteuzi huo, Dk Mapana alikuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) na alijulikana kwa karibu na…

Read More

Viongozi Wapya Maliasili Wataka Utu Katika Uhifadhi, Utalii

Na Mwandishi Wetu, Morogoro WAZIRI wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji na Naibu wake Mhe. Hamad Chande, wamewataka maofisa na askari wa uhifadhi nchini kuendeleza utu katika kuwahudumia wananchi, kuendeleza uhifadhi na kuwakinga wananch dhidi ya wanyama wakali na waharibifu na kuwakirimu wageni katika utalii. “Leo tumefika hapa Tawa (Mamlaka ya Wanyamapori Tanzania), nawapongeza…

Read More