TFS yakabidhiwa magari kuimarisha uhifadhi Udzungwa, Kilombero
Iringa. Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) umesema shughuli za uhifadhi misitu ya Udzungwa na Kilombero zinatarajiwa kuimarika kupitia matumizi ya magari mapya ya doria, yatakayowapa wahifadhi uwezo wa kufika kwa ufanisi zaidi katika maeneo muhimu ya misitu hiyo iliyopo mkoani Iringa na Morogoro. TFS wameeleza kuwa magari hayo mapya ya doria aina ya Toyota Land…