Kanisa la Askofu Gwajima kufunguliwa
Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi kuhusu kuzingatia miiko, masharti na sheria za uendeshwaji wake. Agizo hilo la Serikali, linakuja ikiwa zikiwa zimepita siku 175 tangu Juni 2, mwaka huu, tangu ilipotangaza kufuta usajili wa kanisa hilo kwa…