COP30 ilikuwa diplomasia katika hatua wakati ushirikiano unakua – inasema mazungumzo ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Yamide Dagnet, Makamu wa Rais Mwandamizi, Kimataifa katika Baraza la Ulinzi la Maliasili. Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (Belém, Brazil) Jumatatu, Novemba 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Belém, Brazil, Novemba 24 (IPS) – Kama waangalizi katika Mkutano wa Vyama walifuatilia kwa karibu kesi huko Belém, wengi, kama Yamide Dagnet, walikaribia Mkutano wa…

Read More

DKT MWIGULU ATOA SIKU 10 KWA WATENDAJI WA USAFIRI WA MWENDOKASI KUAINISHA MAENEO YA KUFANYIWA KAZI

…………… WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 10 kwa watendaji wa taasisi zinazohusika na usafiri wa mwendokasi jijini Dar es Salaam wakae na kuainisha maeneo ya kufanyiwa kazi kwa haraka ili kurejesha hali ya mpito wakati Serikali ikitafuta suluhisho la kudumu. “Wizara ya Ujenzi, TANROADS, DART, UDART, OWM-TAMISEMI, TANESCO na wadau wengine, kaeni kuanzia…

Read More

James hakuna kupoa Ujerumani | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Kitanzania, James Damas anayekipiga MTV Wolfenbuttel U19 ya Ujerumani amesema huu ni msimu wake wa mwisho kuitumikia timu hiyo chini ya miaka 19. James maarufu Rodrygo amekuwa kikosini hapo kwa takribani misimu mitatu akitokea Alliance ya Tanzania na alipata nafasi baada ya kufanyiwa majaribio. Akizungumza na Mwanaspoti, James amesema huu ni msimu…

Read More

Kocha Fountain Gate awageukia maafande

BAADA ya Fountain Gate kupoteza mechi iliyopita dhidi ya Pamba Jiji, kocha wa kikosi hicho, Mohamed Laizer amesema haikuwa bahati yao huku akielekeza nguvu zake katika kuikabili Tanzania Prisons wikiendi ijayo. Licha ya kupoteza mechi hiyo kwa bao 1-0, Laizer amewapongeza wachezaji wa timu hiyo kwa kiwango kizuri walichoonyesha hivyo anaamini mechi ijayo itakuwa fursa…

Read More

Mayanga awakingia kifua washambuliaji | Mwanaspoti

BAADA ya kuvuna pointi tatu dhidi ya waajiri wake wa zamani wa Mbeya City, kocha wa Mashujaa, Salum Mayanga amezisifu timu pinzani na kuwakingia kifua washambuliaji kwa kuzipa timu zao ushindi wa mabao kiduchu. Mayanga amefunguka hayo baada ya Jumamosi kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City akiweka wazi kuwa ubora wa…

Read More

SERIKALI YAAGIZA KANISA LA UFUFUO NA UZIMA LIFUNGULIWE.

 Na Janeth Raphael MichuziTv  Waziri Mkuu,Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi katika kuzingatia miiko, masharti na sheria za uendeshwaji wake. Sambamba na hilo, ameelekeza kurekebishwa kwa sharti linalotaka kufungiwa kwa nyumba ya ibada iwapo atakosea kiongozi, akisisitiza anayekosea…

Read More

DKT MWIGULU AAGIZA MWENDOKASI IRUDI NDANI YA SIKU 10

Na Janeth Raphael MichuziTv  Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania , Dk Mwigulu Nchemba ameagiza Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) na wadau wote wanaohusika wakae na kutengeneza utaratibu wa mpito ili kurejesha huduma za usafiri huo ndani ya siku 10. Huduma za usafiri wa mabasi hayo zilisitishwa baada ya vurugu za Oktoba…

Read More

Mbio za Baiskeli kusaidia watoto waishio mazingira magumu Dodoma

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu), Ummy Nderiananga, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mashindano ya mbio za baiskeli yanayolenga kukusanya zaidi ya Sh100 milioni kwa ajili ya kusaidia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wanaotoka katika mazingira magumu mkoani Dodoma.‎‎Mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika kwa mara ya kwanza…

Read More