Vikundi 82 vyanufaika mkopo wa Sh789 milioni Chunya

Mbeya. Halmashauri ya Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya imetoa mkopo wa zaidi ya Sh789.5 milioni kwa vikundi 82 vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu. Mikopo hiyo imetolewa kupitia asilimia 10 ya mapato ya ndani ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Serikali linaloelekeza halmashauri zote nchini kutenga fedha kwa ajili ya kuwezesha makundi hayo kiuchumi….

Read More

Ni Wakati Wako Kuruka Juu na Kuibuka Bingwa wa Super Heli

WIKI ya mwisho ya promosheni ya Super Heli imewadia, na Meridianbet inaendeleza msisimko kwa kasi ambayo hujawahi kuiona. Kama bado hujajiunga na mchezo huu, huu ndiyo muda wa kufanya hivyo. Burudani ipo kila sekunde, na zawadi ziko wazi kwa yeyote mwenye ujasiri wa kupanda kwenye helikopta ya ushindi. Katika promosheni hii, wachezaji wanapewa nafasi za…

Read More

Mvua wilayani Sumbawanga zakata mawasiliano ya vijiji

Rukwa. Mvua zinazoendelea   katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Sumbawanga zimesababisha kusombwa kwa daraja linalounganisha vijiji vitano vya Ilemba A, Ilemba B, Lyanza, Sakalilo na Kasteka, na kusababisha adha ya usafiri kwa wakazi wa maeneo hayo. Kufuatia hali hiyo, baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Sakalilo, Kata ya Ilemba, Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa…

Read More

Tanzania kujiuliza kwa New Zealand Futsal

BAADA ya Timu ya Taifa ya Wanawake ya Futsal kupoteza mechi ya kwanza ya kundi C ya michuano ya Kombe la Dunia la Futsal kwa mabao 10-0 dhidi ya Ureno, leo saa 7 usiku itakuwa na kibarua kingine cha kutafuta pointi tatu. Mashindano hayo yanayoendelea nchini Ufilipino ikiwa hatua ya makundi na Tanzania iliyopo kundi…

Read More

Mambo yanayomsubiri Chongolo Wizara ya Kilimo

Dar es Salaam. Wadau wameeleza matarajio yao kwa Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo huku wakitaja mambo wanayotamani yapewe kipaumbele ili kuongeza tija kwenye sekta hiyo. Tayari zimepita siku nane tangu Rais Samia Suluhu Hassan alipotangaza baraza jipya la mawaziri ambalo Chongolo ameteuliwa kuwa Waziri wa Kilimo akipokea kijiti kwa Hussein Bashe aliyewekwa kando. Wakizungumza na…

Read More

Madhara kumzuia mtoto kuuliza maswali

Dar es Salaam. Moja ya zawadi kubwa ambayo mzazi anaweza kumpa mtoto si fedha, si shule za gharama, bali mazingira ya kuuliza na kujibu maswali bila hofu. Katika familia nyingi, watoto hukuzwa kwenye mifumo inayozuia kuuliza, kuhoji, au hata kujaribu kuelewa kwa kina. Mara nyingi swali la mtoto hujibiwa kwa haraka, kupuuzwa, au kuonekana kama…

Read More