G20 imeshindwa kwa deni. Wakati wa kuangalia maswala ya UN – ya ulimwengu

Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres. Mkopo: UN PICHA/GUSTAVO STEPHAN | Kundi la ishirini (G20) linajumuisha nchi 19 (Argentina, Australia, Brazil, Canada, Uchina, Ufaransa, Ujerumani, India, Indonesia, Italia, Japan, Jamhuri ya Korea, Mexico, Urusi, Saudi Arabia, Afrika Kusini, Türkiye, Uingereza na Merika) na Bodies mbili za Mkoa: Umoja wa Ulaya na Umoja wa Afrika. Wajumbe…

Read More

Dakika 493 za Opah Clement Hispania

LICHA ya ugumu wa Ligi Kuu ya Wanawake Hispania lakini mshambuliaji wa Kitanzania, Opah Clement ameendelea kupata nafasi kwenye kikosi cha SD Eibar. Nahodha huyo wa timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars alitambulishwa kikosini hapo akitokea FC Juarez ya Mexico aliyoitumikia kwa msimu mmoja akicheza mechi sita kati bila ya kufunga bao wala asisti….

Read More

Kinda Azam FC apata shavu Sweden

BEKI wa kushoto wa Azam FC ya vijana, Ismaili Omari amesaini mkataba wa miezi sita kuitumikia klabu ya AIK Solna inayoshiriki Ligi Kuu ya Sweden. Agosti mwaka huu Azam FC ilitangaza wachezaji watatu Omari na viungo washambuliaji wawili Mohamed Shillah na Adinan Rashid kutoka timu ya vijana waliopelekwa klabuni hapo kwa majaribio. Taarifa iliyoipata Mwanaspoti…

Read More

Oviedo aanika siri ya mwaka mmoja

BEKI wa kushoto wa Coastal Union, Ally Ramadhan ‘Oviedo’ amefichua sababu ya kupenda kusaini mkataba wa mwaka mmoja kila timu anayopita ikiwamo ishu za ofa. Oviedo aliyejiunga na Coastal msimu huu akitokea Pamba Jiji aliwahi pia kuzitumikia Mashujaa, Ihefu na Pamba Jiji ambako kote alicheza msimu mmoja, huku KMC akitumikia  misimu saba tangu ikiwa Ligi…

Read More

Mechi nne tu zamuamsha kocha Dodoma Jiji

BAADA ya Kocha wa Dodoma Jiji, Amani Josiah, kuiongoza timu hiyo katika mechi nne za Ligi Kuu Bara msimu huu bila kuonja ladha ya ushindi, amesema ana kazi kubwa ya ziada ya kufanya kwa kikosi hicho, ili kiondokane na mwenendo mbaya uliopo. Josiah aliyejiunga na Dodoma Oktoba 16, 2025 baada ya kocha raia wa Rwanda,…

Read More

TUZO ZA WAKUU NA WATENDAJI WA MAKAMPUNI 100 BORA ZINALENGA KUVUTIA UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA TANZANIA

Waziri wa Kazi na Uwekezaji Zanzibar, Shariff Ali Shariff (katikati), amesema tuzo za Wakuu na Watendaji wa Makampuni 100 Bora zimelenga kuvutia Uwekezaji na kukuza uchumi wa Tanzania. Waziri Shariff aliyasema hayo wakati akishiriki hafla ya utoaji tuzo hizo zilizofanyika Novemba 21,2025  katika ukumbi wa The Super Dome Masaki jijini Dar es salaam.  

Read More