Watanzania Kataeni Uchochezi wa Kuligawa Taifa

Na. Mwandishi Wetu  Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ametoa wito kwa wananchi hususani vijana kuepuka uchochezi unaofanywa na watu wanaoishi nje ya nchi, ambao hawaguswi na madhara ya matendo wanayohamasisha vijana hao wafanye ndani ya Tanzania kwa kisingizio cha kudai haki.  – Msigwa…

Read More

Tanzania ni Salama, Shughuli Zinaendelea

Na. Mwandishi Wetu  Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Tanzanja ni shwari na Watanzania wanaendelea na shughuli zao kama kawaida akisisitiza kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kuhakikisha watu na mali zao wanaendelea kuwa salama. Msigwa ametoa kauli hiyo leo Novemba 23,…

Read More

Pacome amtingisha Mreno | Mwanaspoti

YANGA imetibua rekodi nzito ya FAR Rabat iliyoondoka vichwa chini, lakini maumivu makubwa anayo kocha wa timu hiyo, Alexandre Santos aliyeweka wazi anaondoka na jina la kiungo Pacome Zouzoua, aliyekiri ni mchezaji tishio huku akiulizia kuhusu mkataba alionao Jangwani. Akizungumza na Mwanaspoti, Santos…

Read More