Ubunge wa Baba Levo wapingwa kortini

Kigoma. Haijaisha mpaka imalizike. Ni usemi unaoweza kuelezea hatua ya wapigakura wanne wa Jimbo la Kigoma Mjini kufungua shauri la uchaguzi wakipinga ushindi wa mbunge wa jimbo hilo (CCM), Clayton Chipando maarufu Baba Levo. Wapigakura hao wamewasilisha sababu 35 kuthibitisha kile wanachodai kuwa ubunge wa Baba Levo ni batili, hivyo ufanyike uchaguzi mdogo huku wakiwataja…

Read More

Ndayiragije aandika rekodi mbili TRA United

KOCHA wa TRA United, Mrundi Etienne Ndayiragije, ameweka rekodi mbili na timu hiyo baada ya ushindi wa bao 1-0 juzi Jumamosi dhidi ya Tanzania Prisons katika mechi ya Ligi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora. Bao la dakika ya 55 la Ramadhan Chobwedo limemfanya Ndayiragije kushinda mechi ya kwanza na kikosi hicho…

Read More

Kipenye, Chamungu wana jambo Namungo

NYOTA wa Namungo, Cyprian Kipenye, amesema kati ya malengo aliyojiwekea na mchezaji mwenzake, Andrew Chamungu, ni kuhakikisha wanaendelea kufanya vizuri na kuendeleza pacha kali na timu hiyo, kama walivyofanya wakiwa na Songea United. Wachezaji wote wawili wamejiunga na kikosi hicho msimu huu, baada ya kuachana na timu ya Songea United inayoshiriki Ligi ya Championship, huku…

Read More

Fanya haya kumsaidia mtoto anayesubiri matokeo

Dar es Salaam. Kipindi cha kusubiri matokeo ya mitihani ya kidato cha pili na cha nne, ni hatua muhimu katika safari ya elimu ya mtoto. Mara nyingi muda huu huwa mrefu na huambatana na changamoto mbalimbali, ikiwamo kupungua kwa mwamko wa kusoma, kujiingiza katika makundi yasiyofaa, au kusahau kabisa maarifa aliyojifunza. Hii ndiyo sababu mzazi…

Read More

Usipuuzie maumivu ya kichwa, wataalamu watahadharisha

Dar es Salaam. Kama unapata maumivu ya kichwa yanayojirudia na huchukui hatua ya kumwona daktari bali unameza dawa tu, basi kiafya utakuwa unafanya makosa kwa kuwa, wataalamu wanasema si dalili njema. Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, maumivu ya kichwa mara kwa mara ni dalili inayoashiria changamoto kwenye ubongo,  hivyo inahitajika ulazima wa kwenda hospitali….

Read More

Simiyu kutoa hati za kimila 6,000 kwa wakulima na wafugaji

Simiyu. Serikali itatoa hati za kimila 6,000 kwa wakulima na wafugaji katika halmashauri sita za Mkoa wa Simiyu, ikiwa ni hatua ya kuongeza thamani ya maeneo yao, kuimarisha utunzaji wa mazingira na kuongeza uwezo wa jamii kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza leo Jumapili Novemba 23, 2025 wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wakulima na…

Read More

Masalanga: Tulizidiwa, ila bado tuna nafasi

BAADA ya Singida Black Stars kupoteza kwa mabao 2-0 dhidi ya CR Belouizdad katika mechi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi, kipa wa timu hiyo, Hussein Masalanga amezungumzia wapinzani wao walikuwa wazuri kutokea pembeni. Masalanga amesema bado wana matumaini makubwa ya kushinda mechi zijazo ili kutinga robo fainali ya CAF, lakini…

Read More

Tanzania yaanza vibaya Kombe la Dunia Futsal

TIMU ya taifa ya Wanawake Tanzania imeanza vibaya mechi zake za Kombe la Dunia la Futsal inayoendelea huko Ufilipino baada ya kupokea kichapo cha mabao 10-0 kutoka kwa Ureno. Mechi hiyo ya Kundi C ilipigwa mapema asubuhi kwenye Uwanja wa Philsports Arena Pasig nchini Ufilipino. Katika Futsal, mechi huchezwa kwa dakika 40 ambazo ni dakika…

Read More