AFRIKA YASISITIZA UFADHILI WA UHAKIKA KWA UTEKELEZAJI WA MAPAMBANO DHIDI YA MABADILIKO YA TABIA NCHI
::::::::: Na Mwandishi wetu, Belem, Brazil Afrika imeendelea kusisitiza hitaji la kuwepo kwa ufadhili wa uhakika, endelevu na wa kutosha kwa ajili ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, ikionya kuwa bila rasilimali za kutosha na msaada wa kweli katika utekelezaji, maamuzi yanayofikiwa katika majukwaa ya kimataifa yataendelea kubaki kuwa ahadi na maneno mazuri…