Yanayoendelea kanisani kwa Askofu Gwajima

Dar es Salaam. Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima leo Novemba 30, 2025 wamefanya ibada ya kwanza ya Jumapili, ikiwa imepita zaidi ya miezi sita tangu kufutiwa usajili. Juni 2, 2025, Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa alitangaza kulifuta kanisa hilo kwa kile alichoelea limekiuka Sheria za usajili Sura…

Read More

Ulezi watoto wa kambo unavyopitia changamoto

Kuwa na mtoto au watoto au wazazi wa kambo ni jambo la kawaida katika jamii ya binadamu bila kujali jiografia, rangi, hata uwezo kiuchumi au vyovyote. Watoto na wazazi wa kambo ni sehemu ya kawaida katika maisha na ndoa za binadamu. Hivyo, leo, tutadurusu hali hii ambayo haiepukiki  katika maisha ya baadhi ya watu kutokana…

Read More

Gamondi awatega Wasauzi kwa Aucho

KUWA na uhakika wa Khalid Aucho kucheza kesho dhidi ya Stellenbosch, imemfanya Kocha wa Singida Black Stars kushusha pumzi akiamini kwamba kiungo huyo na nyota wengine wazoefu kikosini hapo watafanya vizuri. Kauli ya Gamondi imekuja wakati Singida Black Stars, itakuwa kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kuikaribisha Stellenbosch kutoka Afrika Kusini ikiwa ni mechi ya…

Read More

Mume wangu anavutiwa na wanawake wembamba

Nimeolewa huu ni mwaka wa tatu, mume wangu ananishangaza kwani tulipokutana alisema mimi ni chaguo  lake na kweli akanioa. Lakini kila ninavyoishi naye nahisi mimi si chaguo lake. Mfano tukiangalia movie au popote tunapokuwa kama kuna watu hasa wanawake anavutiwa zaidi na walio na mwili mkubwa na si wembamba kama nilivyo mimi. Nahisi alikurupuka kunioa…

Read More

CEO Simba aanika mafanikio ya msimu wa 2024-2025

OFISA Mtendaji Mkuu wa Simba (CEO), Zubeda Sakuru, amesema klabu hiyo imepata mafanikio makubwa kwa msimu wa 2024-2025, licha ya changamoto mbalimbali zilizojitokeza. Akizungumzia katika mkutano mkuu wa mwaka wa Simba unaofanyika leo kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Zubeda amesema miongoni mwa mafanikio hayo ni kumaliza nafasi ya pili katika Ligi…

Read More

KATAMBI ASISITIZA USHIRIKIANO WA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI KUKUZA SEKTA YA VIWANDA NA BIASHARA

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Patrobas Katambi,akizungumza wakati wa zaiara na ufunguzi wa Maonesho ya kwanza yaliyofanyika katika  Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kilichopo  Ubungo, Dar es Salaam. ….. NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Patrobas Katambi , amekitaka Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kushirikiana na…

Read More

Mwisho wa mwaka na wajibu wa wazazi kwa watoto wao

Dar es Salam. Kadiri mwaka unavyokaribia ukingoni, familia nyingi hujipanga kukabiliana na majukumu ya kipindi cha likizo pia lakini zikiwaza namna wanafunzi watakavyorejea shuleni. Ila pia ilumbukwe kuwa hiki ni kipindi ambacho watoto hupata muda wa kutosha kuwa nyumbani, hivyo wazazi wanapaswa kupanga kwa makini namna ya kuwasaidia ili waendelee kukua kimawazo, kitabia na kimaadili….

Read More

Hofu ya Mungu inavyozaa huruma ya kweli kwa watu

Bwana Yesu asifiwe. Naitwa Mwalimu George Mbwambo kutoka Usharika wa KKKT Buza, jijini Dar es Salaam. Karibu katika mahubiri ya siku ya leo yenye kichwa cha somo kinachosema ‘Hofu ya Mungu inavyozaa huruma ya kweli kwa watu’. Mara nyingi tunapozungumza kuhusu kumcha Mungu, watu hufikiri juu ya kuogopa adhabu, lakini Biblia inaonyesha wazi kwamba kumcha…

Read More

Katambi: EACLC leteni Wafanyabiashara wenye Teknolojia na Ujuzi ambao haupo Nchini.

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi , amekiasa Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kufanya kazi na Wafanyabiashara Wageni wanaoleta teknolojia na ujuzi ambao haupo nchini ili kuhakikisha vijana wa Kitanzania wanajifunza na kukuza biashara zao. Katambi ameyasema hayo, Novemba 29, 2025, alipotembelea na kufungua Maonesho ya Kwanza ya Biashara ya…

Read More