Utoro, mimba vyaongoza mdondoko wa wanafunzi

Dar es Salaam. Mimba na utoro vimeendelea kuwa sababu kuu za wanafunzi kuacha shule katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania kwa mwaka 2024, kama inavyoelezwa katika ripoti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS). Ripoti ya Statistical Abstract ya mwaka 2024 iliyochapishwa Septemba 30, 2025 katika tovuti ya NBS inaonyesha kuwa utoro ulibeba asilimia 99.21 ya…

Read More

Siku saba za presha umeya, uenyekiti wa halmashauri

Dar es Salaam. Joto la uteuzi wa kuwania umeya wa majiji, manispaa na wenyeviti wa halmashauri limehamia ngazi ya kamati za siasa za mikoa, zitakazochuja na kupendekeza majina ya wagombea hao kwa ngazi ya kitaifa. Hatua hiyo ni baada kamati za siasa za wilaya za Chama cha Mapinduzi (CCM) zilizoketi leo Jumamosi Novemba 22 nchi…

Read More

Mbeto amtaka OMO aachane na stori za Uchaguzi uliomalizika

 ………. Ma Mwandishi  Wetu  Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi  kimemtaka aliyekuwa Mgombea Urais  wa Zanzibar  kupitia ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman  , iwapo  chama chake kina ubavu wa kushindana na CCM kisubiri Uchaguzi Mkuu ujao  mwaka 2030. Aidha ,CCM  kimeyaita madai ya kutaka Uchaguzi Mkuu  wa Zanzibar  urudiwe huku OMO   akiamini  atamshinda Rais Dk Hussein  Ali…

Read More

Njia za kunusuru visiwa vinavyozama baharini zatajwa-2

Tanga/Pemba. Kutoka Maziwe, Pangani mkoani Tanga hadi Panza, kisiwani Pemba, Zanzibar, simulizi ni moja ya namna mawimbi ya bahari yanayoongezeka mwaka hadi mwaka, yanavyoathiri historia na maisha ya kila siku ya wananchi. Kwa Juma Idd Hassan, maarufu Fundi Ten, mkazi wa Kisiwa cha Maziwe, hatua za haraka zinapaswa kuchukuliwa kudhibiti hali hii inayochangiwa na mabadiliko…

Read More

ULEGA ATOA SIKU SABA ZA MOTO KWA WAKANDARASI

…………….. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa siku saba kwa Wakandarasi Wazawa wanaotekeleza miradi ya dharura katika barabara ya Gairo – Dodoma – Kintinku kukamilisha kuweka tabaka la juu la lami katika maeneo  yanayokarabatiwa ili kuruhusu magari kupita juu ya barabara na kuondokana na adha ya foleni katika barabara za mchepuo. Ulega ametoa maelekezo hayo…

Read More

Wakulima watia shaka utolewaji fedha kukabili athari za mabadiliko ya tabianchi

Dar es Salaam. Wakati dunia inaangazia kwa makini majadiliano ya Mkutano wa 30 wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP30) unaofanyika Belem, nchini Brazil, wakulima wadogo wa Afrika Mashariki na hasa wale wa vijijini nchini Tanzania, wanaendelea kubeba mashaka kuhusu mustakabali wao. Rais wa Shirikisho la Wakulima wa Afrika Mashariki (EAFF), Elizabeth Nsimadala,…

Read More

Wahitimu wa udaktari watakiwa kuacha kukimbilia siasa

Mwanza. Wahitimu wa fani za afya wametakiwa kuacha tabia ya kukimbilia siasa mara baada ya kuhitimu, na badala yake wajikite katika kuitumikia jamii kwa moyo wa huruma, uadilifu, na maadili ya taaluma yao. Wito huo umetolewa leo, Jumamosi Novemba 22, 2025, na Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu…

Read More

Rais Samia atunuku kamisheni maofisa 296

Monduli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan, amewatunuku kamisheni maofisa wapya 296 katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) kilichopo Monduli, mkoani Arusha. Rais Samia ametunuku kamisheni hizo kwa maofisa hao leo Jumamosi Novemba 22, 2025 ambapo kati ya hao, maofisa 106 wametunukiwa Shahada ya Kwanza ya…

Read More

TANESCO MMEFANYA MAGEUZI MAKUBWA KATIKA HUDUMA YA UMEME KWA WANANCHI – MHE. NDEJEMBI

  Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema kuwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kufanya mageuzi makubwa katika kuboresha upatikanaji wa  huduma ya umeme nchini hatua ambayo imeongeza imani na fursa mbalimbali za kiuchumi kwa wananchi. Mhe. Ndejembi ameyasema hayo Novemba 22, 2025, mkoani Dodoma katika kikao chake na viongozi wa TANESCO chenye lengo…

Read More