Petro alivyotoka kimaisha kwa manukato ya ‘jero’

Dar es Salaam. Eneo la Tabata Segerea, jijini Dar es Salaam, Samwel Petro (26), anayefahamika kwa jina la biashara Masheyn Perfume, ndiko anakojipatia kipato cha siku cha kuendesha maisha yake. Ni wa kawaida lakini safari yake si ya kuichukulia powa kwa kauli ya watoto wa mjini. Petro ni wa kupigiwa mfano kwa namna ambavyo mitandao…

Read More

Tanzania kuanza na Ureno futsal Kombe la Dunia

TIMU ya Taifa ya wanawake ya Futsal inaanza karata yake ya kwanza kesho kusaka taji la Kombe la Dunia la futsal dhidi ya Ureno mechi itakayopigwa saa 8:30 mchana katika Uwanja wa PhilSports Arena, Pasig nchini Ufilipino. Mashindano ya futsal yanafanyika nchini Ufilipino yalianza Novemba 21 na fainali itapigwa Desemba 7 yakijumuisha timu 16, huku…

Read More

Kagera Sugar, Polisi Tanzania kukumbushia Ligi Kuu

RAUNDI ya sita ya Ligi ya Championship inaendelea tena wikiendi hii kwa mechi tatu kupigwa leo Jumamosi na nyingine tatu kesho Jumapili za kuhitimisha, huku vita kali inayosubiriwa ni kati ya Kagera Sugar na Polisi Tanzania. Mechi hiyo itakayopigwa kwenye Uwanja wa Kaitaba Bukoba mkoani Kagera inarudisha kumbukumbu ya timu hizo mara ya mwisho zilipokutana…

Read More

Ligi Kuu Bara kuna mechi za kisasi

UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa mechi mbili kupigwa, ambapo TRA United zamani Tabora United itacheza na maafande wa Tanzania Prisons, huku Mashujaa ikiwa kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma kucheza na Mbeya City. TRA United itakayokuwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora kuanzia saa 8:00 mchana, inasaka ushindi…

Read More

Matola, Mutale wasisitiza jambo Simba

KOCHA wa Simba, Selemani Matola na mchezaji wa timu hiyo, Joshua Mutale wamefichua siri itakayowabeba msimu huu katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku malengo makubwa yakiwa ni kufika nusu fainali. Matola na Mutale wamezungumza hayo jijini Dar es Salaam, wakati timu hiyo ikijiandaa kwa ajili ya mechi ya kwanza ya hatua ya makundi…

Read More

Petro de Luanda yaipiga mkwara Simba

KOCHA Mkuu wa Petro de Luanda ya Angola raia wa Hispania, Franc Artiga, amesema licha ya kucheza na Simba kwa mara ya kwanza lakini haihofii wakati timu hizo zitakapokutana kesho katika mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Artiga amesema anatambua mechi ya…

Read More