Wanawake waongoza kwa idadi wahitimu Rucu
Iringa. Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) leo kimefanya mahafali yake ya 18 katika viwanja vya chuo hicho jijini Iringa, ambapo jumla ya wahitimu 1,658 wametunukiwa vyeti, stashahada, shahada na shahada za uzamili. Katika mahafali hayo, wanawake wameongoza kwa idadi kubwa, ikiwa ni 920, dhidi ya wanaume 738, hatua inayotafsiriwa kama ishara ya ukuaji wa usawa…