Rais Mwinyi ateua ma-RC, wakuu wa taasisi kuwa makatibu wakuu

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amefanya uteuzi na kubadilisha makatibu wakuu wa wizara nane, pamoja na naibu makatibu wakuu wa wizara tano. Miongoni mwa walioteuliwa wamo waliokuwa wakuu wa mikoa na watendaji wakuu wa taasisi za Serikali. Katika uteuzi huo, makatibu wakuu wa wizara tisa wameendelea kusalia walipokuwa. Wateule hao wataapishwa Jumamosi, Novemba…

Read More

Madiwani 10 Simanjiro wajitosa uenyekiti wa halmashauri

Simanjiro. Jumla ya madiwani wateule 10 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamejaza fomu za kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, huku wengine saba wakijitokeza kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Baraka Kanunga, hatashiriki katika kinyang’anyiro hicho baada ya kupoteza katika kura za maoni za CCM kwa mpinzani…

Read More

Wanawake Kigogo wajengewa uwezo kiuchumi, kifikra

Dar es Salaam. Baadhi ya wanawake wa Kata ya Kigogo, Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, wameendelea kunufaika na mradi wa kuwajengea uwezo na uwezeshaji ili kujikwamua kiuchumi. Mradi huo unaoendeshwa na taasisi isiyokuwa na kiserikali ya Women of Influence ambayo imejikita kuwajengea uwezo wanawake namna ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia, rushwa ya…

Read More

KMC hali tete, yalala mbele ya JKT

TIMU ya KMC hali yake imeendelea kuwa mabaya ikipoteza mchezo wa Ligi Kuu Bara ikiwa nyumbani dhidi ya JKT Tanzania kwa bao 1-0. Matokeo hayo yanaifanya KMC kuendelea kujichimbia mkiani ikibaki na pointi tatu, ikipoteza mchezo wa sita mfululizo katika msimu huu. Licha ya kuonyesha mchezo mzuri KMC imeendelea kuonyesha udhaifu kwenye safi yake ya…

Read More