BoT kuja na kanuni kuwabana wakopeshaji mitandaoni

Dodoma. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema kuwa imeanza kuandaa kanuni mahususi zitakazodhibiti wakopeshaji wa mitandaoni wanaotoa huduma zao bila kufuata taratibu, ikiwemo kutosajiliwa rasmi kama inavyotakiwa kisheria. Hatua hii imekuja kufuatia malalamiko lukuki kutoka kwa wananchi ambao wamekuwa wakitozwa riba kubwa kupita kiasi na hata kudhalilishwa hadharani kupitia simu au mitandao ya kijamii wanapochelewa…

Read More

Wawili mbaroni wakidaiwa kuhamasisha vurugu

Arusha. Jeshi la Polisi mkoani Arusha, limesema linawashikilia vijana wawili kwa tuhuma za kuongoza kundi sogozi la kueneza chuki kwa jamii. Vijana hao ni Edwin Mboro na Victor Ndibalema ambao pia wanadaiwa kuhamasisha vurugu nchini wakishirikiana na wahalifu wengine. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha, Justine…

Read More

Tato wataka ubunifu katika kufikia malengo ya utalii nchini

Arusha. Chama cha Waendesha Utalii Tanzania (Tato) kimewataka wanachama wake kuzingatia ubunifu katika uendeshaji wa biashara ya utalii ili kukabiliana na changamoto za kisekta na kuchochea uchumi wake. Kwa mujibu wa Serikali, kwa sasa Tanzania inatembelewa na watalii zaidi ya milioni 5.3 kwa mwaka na kuingiza mapato ya Dola za Marekani 4 bilioni huku ikilenga…

Read More

Tathmini hupata mipango ya mifumo ya chakula hutoa matokeo lakini anaonya juu ya nafasi za mabadiliko zilizokosa – maswala ya ulimwengu

Programu ya Mifumo ya Chakula ya Mazingira ya Ulimwenguni iligundua kuwa programu zake zinafaa sana kwa juhudi za kimataifa za kupunguza ukataji miti, uharibifu wa ardhi, upotezaji wa viumbe hai na uzalishaji wa gesi chafu kutoka kwa kilimo, uvuvi, na minyororo ya usambazaji wa bidhaa. Picha hapa ni mkulima katika mpaka wa Kashmir Hamlet wa…

Read More

Nafasi ya Kuibuka na Ushindi Ipo Meridianbet Leo

BAADA ya mapumziko ya Kimataifa, hatimaye sasa ligi zimerejea kwa kishindo kikubwa ambapo, Ijumaa ya leo ni nafasi ya wewe kutengeneza mkwanja wa maana. Ingai kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Ligi kuu ya Hispania, LALIGA kutakuwa na mechi moja kali sana ambapo Valencia atakipiga dhidi ya Levante ambao mpaka sasa wapo nafasi ya 19,…

Read More

PIKU yaendelea kugusa maisha ya Watanzania, Washindi wasema zawadi wanazoshinda zitabadilisha maisha yao

KATIKA kudhihirisha kuwa teknolojia inabadilisha maisha ya Watanzania, Jukwaa la Kidijitali la PIKU limeendelea kutoa tabasamu kwa watumiaji wake baada ya kukabidhi zawadi mbalimbali kwa washindi zikiwemo bodaboda, televisheni aina ya LG, simu mpya aina ya Samsung 06, manukato mbalimbali pamoja koponi za safari za Bolt. Washindi hao wamekabidhiwa zawadi zao hizo na viongozi wa…

Read More

Hospitali ya Aga Khan yatunukiwa tuzo mbili kimataifa

Dar es Salaam. Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam (AKH-D), imeandika historia mpya, baada ya kutunukiwa tuzo mbili katika Kongamano la 48 la Hospitali Duniani. AKH-D imetunukiwa tuzo hiyo na Shirikisho la Kimataifa la Hospitali (IHF), ikiwa miongoni mwa taasisi chache kutoka Afrika Mashariki zilizofanikiwa kutambulika kwa ubora, uongozi thabiti na uwajibikaji wa kijamii….

Read More

TANZANIA YAJIPANGA KUZALISHA BIDHAA ZITOKANAZO NA MADINI NCHINI

▪️Ni maelekezo ya Mhe.Rais Samia ya uongezaji thamani madini nchini ▪️Waziri Mavunde akagua ujenzi wa kiwanda cha kusindika na kuyeyusha madini ya Nikeli na Shaba ▪️Kiwanda kuanza uzalishaji Februari,2026 ▪️Wachimbaji wadogo wapata soko la uhakika wa kuuza malighafi kiwandani ▪️Mradi kugharimu Bilioni 37 Dodoma Tanzania yaendelea kupiga hatua katika Mpango wa ujenzi wa viwanda vya…

Read More