Lishe bora shuleni yapewa kipaumbele Sumbawanga

Rukwa. Katika mwendelezo wa utekelezaji wa afua za lishe katika Wiki ya Lishe Kitaifa, Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga imeendelea kuimarisha huduma za lishe shuleni kwa kugawa unga wenye virutubisho kwa shule za sekondari. Jumla ya kilo 2,850 za unga zimetolewa kwa shule zote za sekondari za Manispaa, ambapo kila shule imepokea mifuko sita yenye…

Read More

Benjamin Ratsim afanya yale yale ya Bayi

MWANARIADHA chipukizi Benjamin Ratsim amekuwa Mtanzania wa pili kuvunja rekodi ya dunia, baada ya kuweka alama mpya katika mbio za barabarani za Km 15 kwa wanariadha walio chini ya umri wa miaka 20. Nyota huyo alifikia rekodi hiyo baada ya kutamba katika mbio za Zevenheuvenloop 15 Km huko Uholanzi zilizofanyika Novemba 16, akimaliza wa tatu…

Read More

Costantine Malimi bado aiota Yanga

KIPA wa Mtibwa Sugar, Costantine Malimi amesimama langoni katika mechi nne kati ya tano ilizocheza timu hiyo iliyorejea Ligi Kuu Bara msimu huu, huku akizitaja Yanga na Dodoma Jiji kuwa ni ngumu kuzisahau kwa jinsi zilivyomtoa jasho uwanjani. Katika mechi hiyo Mtibwa ilicharazwa mabao 2-0 na Yanga, huku ilitoka suluhu mbele ya Dodoma Jiji mechi…

Read More

Wamorocco wamtibulia Aucho | Mwanaspoti

KUNA pigo moja kubwa ambalo Singida Black Stars imelipata wakati ikijipanga kuanza mechi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria inayopigwa usiku wa leo ugenini lililosababishwa na Wamorocco kwani wanamkosa kiungo muhimu, Khalid Aucho. Singida itakuwa Algeria leo saa 4 usiku katika mechi ya ufunguzi wa Kundi C la…

Read More