WHO yatoa tahadhari kuhusu kisonono
Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuwa, kisonono ambao ni ugonjwa wa zinaa, kinazidi kuwa sugu kwa dawa za antibiotiki. Taarifa iliyochapishwa Novemba 19, 2025 kwenye tovuti ya WHO imesema tahadhari hiyo inatokana na takwimu mpya kutoka mpango wake wa Ufuatiliaji wa Uongezekaji wa Uhimilivu wa Vijidudu vya Kisonono (EGASP), unaofuatilia kuenea…