Mvua ya saa sita yaleta usumbufu jijini Mwanza

Mwanza. Mvua iliyonyesha zaidi ya saa sita tangu saa 1 asubuhi leo Ijumaa Novemba 21, 2025 imewasababishia adha watumiaji wa njia inayokatisha daraja la Wakoma jijini Mwanza baada ya daraja hilo kufurika maji. Huo ni mwendelezo wa maji kupita juu ya daraja hilo pindi Mto Mirongo unapojaa maji. Baadhi ya barabara zilizoathirika ni ile ya…

Read More

Matatizo ya Afya Yanayosababishwa na Maji Kupita Kiasi Mwilini – Global Publishers

Maji ni muhimu sana kwa afya ya binadamu, lakini kama mwili ukiwa na maji mengi kuliko inavyohitajika, hali hii inaweza kusababisha matatizo makubwa kiafya. Hapa tunazungumzia hasara kuu zinazoweza kutokea kutokana na kuchukua au kushikilia maji mengi mwilini. 1. Kuongeza Uzito wa Mwili Kushikilia maji mwilini, hali inayojulikana kama water retention, inaweza kuonekana haraka kwa…

Read More

Watatu walioshtakiwa kwa mauaji waachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Mbeya, imewaachia huru washtakiwa watatu waliokuwa wameshtakiwa kwa kosa la mauaji ya mwanakijiji mwenzao, baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha kesi hiyo dhidi yao. Walioachiwa huru ni Fadhili Mashambwa, Sebastian Juma na Maneno Lemsi ambao walishtakiwa kwa kosa la mauaji ya Yohana Shonza, kinyume na kifungu cha cha…

Read More

AGN YAADHIMISHA MIAKA 30, YAAHIDI KULINDA MASLAHI YA AFRIKA

Na Mwandishi wa Daily News, Belém, Brazil KUNDI la Majadiliano la Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN)limeweka msisitizo katika dhamira yake ya kuhakikisha Afrika inazungumza kwa sauti moja imara katika majadiliano ya kimataifa kuhusu hali ya mabadiiko ya tabia ya nchii na madhara yake. Mwenyekiti wa kundi hilo, Dk Richard Muyungi kutoka Tanzania, alisisitiza umuhimu…

Read More

AGN YAADHIMISHA MIAKA 30, YA AHIDI KULINDA MASLAHI YA AFRIKA

 ::::: Belém, Brazil KUNDI la Majadiliano la Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN)limeweka msisitizo katika dhamira yake ya kuhakikisha Afrika inazungumza kwa sauti moja imara katika majadiliano ya kimataifa kuhusu hali ya mabadiiko ya tabia ya nchii na madhara yake. Mwenyekiti wa kundi hilo, Dk Richard Muyungi kutoka Tanzania, alisisitiza umuhimu wa kuendelea kupatiwa msaada…

Read More

ULEGA AWEKA NDANI WAKANDARASI WAZEMBE

………….. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza kuwekwa ndani kwa wakandarasi wa kampuni kutoka China ambao wameshindwa kutimiza masharti ya mkataba wa ujenzi wa barabara ingawa serikali imetimiwa wajibu wake kwa kulipa sehemu ya malipo. Ulega amesema juhudi za kutaka vigogo wa kampuni hiyo kuja nchini na kutoa maelezo kuhusu kusuasua kwa ujenzi wa barabara…

Read More