Tanzania yaporomoka nafasi tano viwango vya ubora FIFA

Tanzania imeporomoka kwa nafasi tano kwenye viwango vya ubora vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) katika chati ya viwango ya mwezi Novemba. Kichapo cha mabao 4-3 ambacho timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ imekipata katika mechi ya kimataifa ya kirafiki, Novemba 15, 2025 kinaonekana kuchangia kwa kiasi kikubwa kuiangusha Tanzania kutoka nafasi ya 107…

Read More

MAWAIDHA: Uhusiano wa amani na haki katika Uislamu

Hakika fadhila na hisani za Allah kwa wanadamu ni kubwa zisizo na ukomo wala mipaka, neema zake haziwezi kuhesabiwa wala kuandikwa. Miongoni mwa neema zake kubwa zaidi ni amani na utulivu. Hizi ni nguzo muhimu za maisha na miongoni mwa mahitaji ya lazima kwa kila binadamu na hata viumbi wengine wa mwituni na baharini. Uislamu…

Read More